Istilahi (terminologies ) zinazotumika kwenye hisa

Istilahi (terminologies ) zinazotumika kwenye hisa

Strong ladg

Senior Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
170
Reaction score
445
Habari wana JF,

Nimeanza kujifunza kuhusu soko la hisa na wakati nasoma ripoti ya DSE kuna maneno nimeyaona ambayo sijaelewa maana yake hivyo ningependa kupata ufafanuzi kwa anayeyafahamu.

1. Bid

2. Offer

3. Deal

4. Outstanding bids

5.Outstanding offers

6. Turnover

7. Opening price

8. Closing price

9. Shares traded.

Thanks in advance.
 
Back
Top Bottom