ISUZU Bighorn: Unyama mwingi

Wabongo tunakatishana Sana Tamaa jamaa ameweka biashara yake lkn comments zote ni kuponda Tu kwa kwenda mbele
Kuwa na uchawi sio lazima uwe na matunguri lakini hata kuwa maono yasiyo sahihi ni uchawi tosha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kulingana na watengenezaji wa magari hakuna gari mbovu ila wamiliki kutozingatia taarifa za gari ndio shida inapoanzia

Sent from my Nokia 5.3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…