Ahaa thanks dadMiss you too .hongera kwa ujasiri wa kununua simu mwenyewe kipindi hiki cha corona. Ukipata majanga kama hayo tushtue tutainuana mpaka upate simu mpya mpwa
Ahaa Tacno tu[emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Hiyo avatar imesababisha niungue chaiKweli wezi si watu wema haha... walichukua simu Kama yao...bt thanks Lord I'm back,maana na Covid-19 hii kuBuy a new phone ni ujasiri[emoji1751] ... I real miss you Guys [emoji8][emoji8]
Mbona we hukuninunulia mie si mdogo wako..Si ungemwambia bae akununulie?
Nimekupenda mrembo..😉
wewe mtoto mzuri hivyo hutakiwi kutumia TECNOAhaa Tacno tu[emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Kawaida by nimeridhika atlist
Sent using Jamii Forums mobile app