It is possible? Is it official? Is it recognized?

Apex

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2012
Posts
425
Reaction score
61
Ndg zangu wana wanazuoni,pitapita ya website ya vyuo vyetu tanzania,nikawa nimeangukia chuo cha st joseph university branch of arusha,nikakuta tangazo LINALO RUHUSU WAHITIMU WA KIDATO CHA NNE KUJIUNGA NA DEGREE KWA MDA WA MIAKA 5. Kwa kuwa ni mara yangu ya kwanza kusikia hichi kitu nilibaki mdomo wazi nikijiuliza maswali mengi 1:is it possible? 2: is it official? 3: is it recognized?
MY TAKE: elimu zetu zinachezewa na watu wachache waliojaza matumbo na kusahau kabisa uthamani wake kwa taifa ili la tanzania,
 
wasanii hao,wanatafuta wateja kwa nguvu,hao wahindi wafanya biashara tu
 
I stand to corrected, lakini hili lishawahi kujadiliwa kwa upana, urefu, ufupi, unene, wembamba, udini, urangi, n.k. hapa JF. Tatizo sikumbuki ni lini na siwezi kufukua uzi huo.

Hata hivyo, kwa kuangalia kinachozalishwa na "fomu siksi" zetu za siku hizi, nadhani mfumo huu utatupatia kilicho bora zaidi.

Kwa ufupi, ningekuwa na Mtoto, akahitimu Kidato cha Nne, akachaguliwa kwenda "fomu faivu" ya Serikali, ningempeleka St. Joseph kwa mfumo huo!
 

mtoa mada nakushangaa umeshindwa kufikiri kidogo na kuona hao st. joseph wako sahihi. Kama form 4 atasoma bachelor degree mfano sociology kwa muda wa miaka 5 maana yake miaka 2 ameitumia kusoma form 5 na 6 na ile mitatu bachelor degree upo hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…