It is what it is. The man aliyekuwa na mikanda yake last time leo anatia huruma yuko mikandaless!! Thats life, nyuma geuka wa nyuma wa kwanza!

It is what it is. The man aliyekuwa na mikanda yake last time leo anatia huruma yuko mikandaless!! Thats life, nyuma geuka wa nyuma wa kwanza!

HALCYON311

Member
Joined
Aug 23, 2014
Posts
27
Reaction score
20
joshua.jpg


ruiz.jpg
 
Huyu mpopo ameshapiga hela hana hasira tena
 
Kwann sana Ruiz anapata kidogo wakat mikanda anaye yeye
Walikubaliana tangu mwanzoni kwamba kutakuwa na mapambano mawili , yeyote atakaye shinda lazima akubali rematch na kwa kuwa AJ kipindi hicho alikuwa yupo juu ndio maana alipata asilimia nyingi zaidi kuliko mwenzake.
 
Kwa sababu hii re-match ni muendelezo wa ile match ya kwanza... Means, mikataba yote ilifanywa mechi ya kwanza..!!
Kibiashara jina la Aj ni zaidi hata ya Wilder au Fury jamaa mapambano yake anajaza sana sasa huyu chibonge nani alikuwa anamjua?
 
Back
Top Bottom