Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Mwana kijiji nina swali. Hayo matawi yao ya nje yata wasaidiaje? Maana hao wanje hawawezi hata kupiga kura na hata wange ruhusuiwa kupiga kura their numbers are too small to make any difference. The place where the battle needs to be won is back home where it matters. Au nime kosea? Labda unge fafanua kidogo hayo matawi yao ya nje yata wasaidiaje kutawala milele? Au una maanisha hao wa nje wakirudi nao ni kuja kuendeleza ufisadi ndani ya CCM?
kupiga kura watabadilisha sheria kabla ya 2010..
Kupiga kura...?lol They are getting young educated people. They are the future leaders.
subirini tu mshangae.. watatoka hawa, watakuja hawa na wao watawaleta wale na gurudumu la kutawala litakuwa linazungushwa kutoka upande huu kwenda ule na mwenge wa kuongoza (hata kama hauna moto) utaendelea kupokewa toka kizazi kimoja kwenda kingine wakati wengine wanaendelea kuombea tu kama fisi..
Mkulusubirini tu mshangae.. watatoka hawa, watakuja hawa na wao watawaleta wale na gurudumu la kutawala litakuwa linazungushwa kutoka upande huu kwenda ule na mwenge wa kuongoza (hata kama hauna moto) utaendelea kupokewa toka kizazi kimoja kwenda kingine wakati wengine wanaendelea kuombea tu kama fisi..
Mkulu
Kuna change kubwa inatokea nchini mwetu.
Yaliyotokea Tarime, na yanaendelea Busanda ni kielelezo kuwa zile siku za KULA NA KUNYWA zimekaribia ukomo.
IT TAKES THE WHOLE VILLAGE MWANAKIJIJI,THE WHOLE VILLAGE, TO WIN THE ELECTION,NOT JUST MATAWI MACHACHE YA UGHAIBUNI.
Watu wamechoka.Jiandae kwa yatayotokea 2010.
Nasubiri utabiri wa wachina waliotoa kuhusu hii existing administration.Walilosema na yanayotokea, yananifanya nifikirie zaidi kuhusu mustakabali wa Taifa letu.
Mwana kijiji nina swali. Hayo matawi yao ya nje yata wasaidiaje? Maana hao wanje hawawezi hata kupiga kura na hata wange ruhusuiwa kupiga kura their numbers are too small to make any difference. The place where the battle needs to be won is back home where it matters. Au nime kosea? Labda unge fafanua kidogo hayo matawi yao ya nje yata wasaidiaje kutawala milele? Au una maanisha hao wa nje wakirudi nao ni kuja kuendeleza ufisadi ndani ya CCM?
Not so sure abt the educated part!!Kupiga kura...?lol They are getting young educated people. They are the future leaders.
Mkulu
Kuna change kubwa inatokea nchini mwetu.
Yaliyotokea Tarime, na yanaendelea Busanda ni kielelezo kuwa zile siku za KULA NA KUNYWA zimekaribia ukomo.
IT TAKES THE WHOLE VILLAGE MWANAKIJIJI,THE WHOLE VILLAGE, TO WIN THE ELECTION,NOT JUST MATAWI MACHACHE YA UGHAIBUNI.
Watu wamechoka.Jiandae kwa yatayotokea 2010.
Nasubiri utabiri wa wachina waliotoa kuhusu hii existing administration.Walilosema na yanayotokea, yananifanya nifikirie zaidi kuhusu mustakabali wa Taifa letu.
Kuanzisha matawi ya chama sehemu mbalimbali duniani, wakati wapinzani wanashangaa shangaaa na hawajui wafanye nini.
For this one, kuna kizazi kipya kinakuja ndani ya CCM!!! gademu..!! na si wote mafisadi!
kupiga kura watabadilisha sheria kabla ya 2010..
Cuzin i think now utakubaliana na mimi ninaposema hakuna cha 2010 au 2015 sijui...labda yesu arudi mara ya pili.
Nilitoa wazo kuwa kama hivi vyama vya upinzani na watu wake humu JF wanataka change ndani ya tanzania then inabidi waanze recruit watu wao kuanzia sasa hivi badala ya kupiga tarumbeta....watu wakanibisha saaana...
I believe kuna watu wana idea nzuri sana ya kuandika humu lakini utendaji kazi ni bure kabisa...Na nitarudia tena viongozi wetu wa kitanzania si chama tawala si vyama vya upunzani old skool new skool wote zero IQ......CCM juu juu juu zaidi!.....
wasalaam waleykhum....
Adios!...