It takes a courage kutapeli karibia taifa zima. Laki tano kwa watu 500 tu ni sawa na 250,000,000

It takes a courage kutapeli karibia taifa zima. Laki tano kwa watu 500 tu ni sawa na 250,000,000

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
"Mwizi alieba mtaani 500 mnanua mafuta ya 10,000 kumchomea wakati afisa aliewaibia milioni 500 mnaishia kusema tunamwachia Mungu atatupambania"

From me eli cohen,

Kiboko alistahili kula hela zenu, sio kwamba yeye ni mjanja sana bali nyie ni wapumbavu sana.
 
Mnaongeaga kama vile ni kitu chepesi ebu nenda wewe mjanja na mwenye akili nyingi basi ukamchome moto huyo fisadi hata mmoja tena fisadi mbali sana ukamchome moto hata police anayekula rushwa ya buku kama utaweza.
 
Back
Top Bottom