kweli post zitaongezeka,tena kwa wewe mtaalam kweli wa kupost,ila sasa!
Jinsi wana MMU walivo nichoka naamini wewe ni moja kati yao,...na sasa
wame kutuma uwe agent wa kuhakikisha sirudi tena,...
na lengo lako nikupe password,upost madudu,nipigwe total BAN,nime stuka .......SITAKIIIIIII.........