AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 642
mfano cku mungu akasema kila mmoja akamsalimie mpz wake wa kwanza (first lover) ..........hakuna atakaye mkuta wake home mana kila ukifika utakuta naye hayuko kaenda kumsalimia wake na yy huko hamkuti mana na huyo naye kaenda kumsalimia wake wa kwanza yani itakuwa vululu vululu