itakuaje hapa duniani ikiwa kila mtu atatakiwa akamsalimie first lover wake??????

AMINATA 9

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2011
Posts
2,120
Reaction score
642
mfano cku mungu akasema kila mmoja akamsalimie mpz wake wa kwanza (first lover) ..........hakuna atakaye mkuta wake home mana kila ukifika utakuta naye hayuko kaenda kumsalimia wake na yy huko hamkuti mana na huyo naye kaenda kumsalimia wake wa kwanza yani itakuwa vululu vululu
 

Hii hotuba ukiitoa kanisani/msikitini kwenu ingekuwa bonge la somo na nyumba ya ibada siku hiyo inaweza kosa sadaka. Maana huu ni mkuki hasa kwa wanadamu.
 
je? Kwa wale ambao wapenzi wao washatangulia mbele ya haki. Nalog off
 
Mie wangu niko nae hapa.itabidi nimdake kumsalimia chap chap b4 hajaenda kwa wa kwake. Cartoon zitanikoma kuangalia,lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…