Itakucost ukifanya na usipofanya

Povu la Majani ya Mpapai................Kwani nikisema Unapigia Chapuo Bitcoins ni Kosa.........??? Mtoa Mada amemaanisha vivyo,Hii ni Fasihi Andishi kuwa makini.............!!!!! Hayo ya Trump aliwamaanisha watu kama ninyi musiyeweza Fasiri Fasihi vizuri..................!!!

Forex ni Biashara ya Kitapeli tu kama DECI ndiyo Maana kila siku watu wanachoma Acc zao...................!!!!

Kwa Taarifa yako kuwepo kwa Biashara za KITAPELI siyokwamba hiyo Biashara ni HALALI ndiyo maana hata huko TZ bado kuna sehemu bado zipo KARATA TATU...................!!!!

BITCOINS ni Biashara Mzuri na waTZ wangejua ingewasaidia kuliko FOREX
 
Baaasi mkuu nisamehe mwanzo nilikutuhumu kimakosa,

Ila sasa nimethibitisha uwezo wa akili zako na nmejiridhisha siwezi kuendelea kuzungumza na mwanaume anayeambiwa ukweli akakimbilia kusema ni povu
Trump alikuwa sahihi halafu watu kama ninyi ndo wa kwanza kuropoka amekosea

Sitakujibu tena kaa na ujinga wako
 
Hapa kwenye hili Jukwaa linatukutanisha watu wengi.....................Tatizo linakuja Pale unapokutana na MJUKUU asiyeambilika kwa kukosa Malezi bora....................ni shida karibu SK
 
Nimeamkia hapa nmetoka na kitu...ubarikiwe mtoa mad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…