Itakucost ukifanya na usipofanya

Naona umezitaja BRAIN WASHING CENTERS....ahahahaa.....

mkojo wa bhange,
Mkuu
Wewe si Unaona Mzee wa nyoka wa makengeza alitoka huko na sasa anawajambisha St. Kayumba na Elimu za Memkwa wote wako chali!

Mimi hata sibishani nao, hata wahamishe bahari na vilivyomo wapeleke majumbani mwao.

Nakaa zangu pembeni kabisaaa tena kimyaaaaa.
 
A nice analysis... Imekaa vizuri,it's a matter of working on it.
Yapo mengi, kwa mwenye macho atachukua mawili au matatu na kuyafanyia kazi.
Huu ndiyo msingi wa yote kwa namna nilivyofanya executive summary yangu:
1.Making decision
2.The decisions are made through experience.
3.Experiences are coming from bad decisions you've once made.
Ahsante mkuu...!
 
Kuna aliulizwa maana ya neno "life" akasema it means "life".
Kwa nini? Kifasihi, usifikiri maana ya mwandishi lazima ifanane na ile unayoifikiria wewe.
Mtoa hoja amezungumza aliyoweza kuyaandika.Kama uba hoja nyingine ambayo unaona inamiss kwenye uzi, siyo vibaya ukiileta ili utuongezee maarifa badala ya kubeza kazi yake.
Mtazamo...!
 
Hapa ndo utatujua wabongo exactly tuokeje,

Huu uzi ni zaidi ya siku mbili lakini hakuna hata wachangiaji 10,

Ila ingekuwa story za migegedo ungeshafika page kumi
Hamna MKUU sometimes nashindwa kuelewa mods unakuta uzi wameuziba hauonekani hata wiki baadaye sana unaonekana!
 
Kwa nini siku hizi Umekuwa Mjinga kiasi hiki.............................Umeandika nini sasa kama huna cha kuchangia si usome tu..............!!!!
 
Andiko zuri na limenigusa MNO. Nimeiishi namba 2, kidogo mama akose radhi na mimi. Alielewa baadae sana kuwa naelewa ninachofanya. Ni mambo yanayohitaji UTHUBUTU wa hali ya juu sana.
 
Hongera sana..
Umenifanya niongeze list ya nyuzi nilizo zisave kwenye simu yangu
Make sure yo hav a good day too.
Lakni ningeomba unisaidie kitabu hicho cha israel how can i get it kama kuna link naweza kipata wasilisha hapa maana nimekitafuta kindle store sijafanikiwa kukipata.hivyo ni vyema ukanisaidia jinsi gani naweza kukipata kitabu hiki
Ahsante
 
Kitabu hiki hapa Chief.
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…