Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Mimi kama mwanachama hai wa Simba na shabiki ndakindaki nina wasiwasi na na uwezo wa Simba kuchukua kuwatoa Yanga nusu fainali kutokana na mizaha ya Simba halafu isitoshe Yanga hawana tena presha kwenye ligi maana ubingwa upo wazi.
Simba ya awamu hii imekuwa na desturi ya kudharau mechi za ndani hasa kwa awamu hii chini ya kocha Pablo, angalia mechi zote za ligi walikuwa wanapoteza na draw za kimasihara hadi unajiuliza hii ni Simba ile tunayoona kimataifa ikifanya vizuri na kuonyesha mchezo mzuri? Simba ya kimataifa ni tofauti na hii simba ya ligi kuu.
Mpaka sasa first 11 haijulikani mbali na mabeki,hata kama wachezaji ni wabovu lakini first 11 ni muhimu kila mechi kati na forward wanacheza bila chemistry na magoli yanayopatikana siyo ya kimfumo ni juhudi ya mchezaji mmoja mmoja, basi mchezaji akiamka na mood mbaya basi mtegemee draw,pia spirit ipo low siyo simba ile mpira unapokaribia kuisha dakika 5 nyingi lazima watafunga.
Hii mechi ya FA majeruhi wapo wengi lakini wachezaji wote wa mbadala wamekuwa hawaeleweki pia.
NB: Simba waache kudharau mechi .
Simba ya awamu hii imekuwa na desturi ya kudharau mechi za ndani hasa kwa awamu hii chini ya kocha Pablo, angalia mechi zote za ligi walikuwa wanapoteza na draw za kimasihara hadi unajiuliza hii ni Simba ile tunayoona kimataifa ikifanya vizuri na kuonyesha mchezo mzuri? Simba ya kimataifa ni tofauti na hii simba ya ligi kuu.
Mpaka sasa first 11 haijulikani mbali na mabeki,hata kama wachezaji ni wabovu lakini first 11 ni muhimu kila mechi kati na forward wanacheza bila chemistry na magoli yanayopatikana siyo ya kimfumo ni juhudi ya mchezaji mmoja mmoja, basi mchezaji akiamka na mood mbaya basi mtegemee draw,pia spirit ipo low siyo simba ile mpira unapokaribia kuisha dakika 5 nyingi lazima watafunga.
Hii mechi ya FA majeruhi wapo wengi lakini wachezaji wote wa mbadala wamekuwa hawaeleweki pia.
NB: Simba waache kudharau mechi .