Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter


Kwahiyo tutatakuwa kuwa kama China! ambako hakuna huru, wafunge na makanisa kama china na kupeleka wasilamu kwenye mageraza. Wafungue clinics za kutoa mimba kama China basi. Wakati mwingine hamjui hata msimayo China kama utakama tuwe vile utajuta. Nyerere alishidwa kufanya Tanzania kuwa china
 
Bogus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…