Itakuwa ni U genius unanianza

Itakuwa ni U genius unanianza

Nikisikia MTU anaitwa DAUD jina lake linalofuata huwa tu linakuja automatic

Hasa sijui naumwa ugonjwa gani
Au ndio u genius UNAVYOANZAGA ?
Ktk zile dalili 3 kuu za uchizi hii yko ni ya pili.
 
Vita ya madawa haijawahi kumuacha mtu salama.. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
na mimi niambie jina langu la pili maana la kwanza DAUD
 
Hamna u genius hapo ila itakua unamfikiria sana mwenye ilo jina ambalo ukiskia daudi unahisi linalofuata
 
Unajua tofauti ya weather and humidity?..ukijua utakuwa umeanza kuelewa utabili wako..
 
Back
Top Bottom