Bond ya bil 20 sijaona imefanya chochote hd leo.30/6/2019 ni siku ya mwisho kuwasilisha majina Caf.Hadi leo simba haijasajili mchezaji wa nje.James kotei jatima yake haijulikani, Haruna kimy hd leo mtasajili lini na bado zimebaki siku kumi.
Tunasikia danadana tu ya akina bwalya na moon kama huyo moon hakuna kitu sidhani kama ni chaguo na Aussem yanga kwa kweli wamejitahidi sana mwaka huu .Kwa imani itakuwa simba ya ajabu sana mwaka huu.
Tunasikia danadana tu ya akina bwalya na moon kama huyo moon hakuna kitu sidhani kama ni chaguo na Aussem yanga kwa kweli wamejitahidi sana mwaka huu .Kwa imani itakuwa simba ya ajabu sana mwaka huu.