Itakuwaje kama idadi ya wanawake itazidi kupungua?

Itakuwaje kama idadi ya wanawake itazidi kupungua?

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Screenshot_20250306-153653.png


Mitandao mbalimbali pamoja na takwimu za dunia zinaoneshwa kwa zaidi ya miaka 23 sasa idadi ya wanawake imekuwa ndogo kidogo kulingamisha na idadi ya sisi wanaume. Kwa sisi washika dini baada hali itakuwaje maana kwa sasa ni Men 101 : 100 female ? huku tanzania ikiwa men 49% female 51 . nini kifanyike ilI idadi ya wanawake iongezeke tupate wanne wanne😄
 
Back
Top Bottom