Itakuwaje siku ukitokewa na malaika mbongo yaan mweus asiwe mzungu mweupe

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe juu yenu wapendwa

Iv ushawahi kujiuliza itakuwaje siku ukitokewa na malaika mweus tu kama wewe utakubali au utakataa

Watu wengi tunajua malaika ni mzungu mweupe na shetan ni mweusi. Sasa itakuwaje anakuja malaika mweus anakwambia aman iwe juu yako Mimi ni malaika kutoka kwa bwana Nina ujumbe juu yako.

Dah yaan Mimi sitaamin kabisa aisee nitajua hii michosho tu

VIP kwako wewe mwenzangu

Mimi nitacheka namna hii
 
Nitaamini tu maana hata kiongozi wao wa baadae ndo kiongozi wetu, sasa unaachaje kuamini mkuu.
 
Labda ananipa mgegedo!... ntakubali mkuu tena malaika mwenyewe awe ke..
 
Na sidhani kama nitatokewa
 
Rais wao si ndio huyu huyu sasa kwanini nishangae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…