Italy: Aliyemtukana Waziri Mkuu kwenye Mtandao wa X aamriwa kulipa fidia ya Tsh. Milioni 14

Italy: Aliyemtukana Waziri Mkuu kwenye Mtandao wa X aamriwa kulipa fidia ya Tsh. Milioni 14

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Mwanahabari mmoja wa Italia aitwaye Giulia Cortese ameagizwa kumlipa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Giorgia Meloni fidia ya €5,000 (£4,210) kutokana na machapisho ya mitandao ya kijamii yanayodhihaki urefu wake

Taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa shirika la habari la kimataifa la Uingereza (BBC) mapema leo, Ijumaa Julai 19.2024 imeeleza kuwa katika maamuzi yake Mahakama imeona jumbe mbili za Giulia Cortese katika mtandao wa kijamii wa 'X' (twitter), ambapo licha ya adhabu hiyo pia mwanahabari huyo ametakiwa kulipa faini nyingine ya €1,200 inayotokana na kuchafua jina Waziri mkuu, ambapo kwa mujibu wa Mahakama imeeleza kuwa machapisho ya mwanahabari huyo kwenye mitandao yake binafsi ya kijamii yanalenga ‘kumuaibisha’ Waziri Mkuu huyo kwa jamii kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni kwa sababu ya mwili wake

Katika machapisho yake mwanahabari huyo Cortese alimtaja Waziri Mkuu Meloni kama 'mwanamke mdogo' sambamba na kwenda mbali zaidi kwa kueleza kuwa 'hatamani kuonana na mtu wa aina hiyo kwenye maisha yake'

Akizungumzia maamuzi hayo ya Mahakama Cortese amekosoa vikali serikali ya Italia kwa kile alichosema kuwa ina tatizo kubwa la uhuru wa kujieleza na kwamba uhuru wa waandishi wa habari uko shakani nchini humo

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa wawili hao waligombana kwa mara ya kwanza mnamo Oktoba 2021, wakati chama cha Meloni chenye msimamo wa mrengo wa kulia cha Brothers of Italy kingali bado katika upinzani, na hiyo ilitokana na ukweli kwamba Cortese alichapisha picha ya dhihaka ya Meloni kwenye X, iliyoonesha kiongozi huyo wa upinzani wakati huo (sasa Waziri Mkuu) akiwa amesimama huku pembeni yake ikipachikwa picha ya dikteta wa kifashisti Benito Mussolin, chapisho ambalo lilitengeneza mjadala mkubwa hasi nchini humo.

===

An Italian court in Milan on Thursday ordered a journalist to pay €5,000 ($5,450) in damages to Giorgia Meloni for "body shaming" the prime minister on social media.

The Milan court also gave Giulia Cortese a suspended fine of €1,200 over another post on X, formerly Twitter, about Meloni's height.

"Italy's government has a serious problem with freedom of expression and journalistic dissent," Cortese said in reaction to the sentence.

Social media exchanges ended up in court​

Meloni launched legal action against the journalist three years after the two women clashed on social media.

Cortese published a mocked-up photo of Meloni with late fascist dictator Benito Mussolini in the background on X.

In response, Meloni posted on Facebook that the fabricated photo was of "unique gravity" and had instructed her attorney to take legal action against the journalist.

Cortese responded with further tweets, including one that translates as "You don't scare me, Giorgia Meloni. After all, you're only 1.2 meters (4 feet) tall. I can't even see you."

Cortese was acquitted of the tweet comparing Meloni to Mussolini but was convicted of defamation for comments on Meloni's height, which the judge said amounted to "body shaming."

Meloni has taken action against journalists before​

Cortese can appeal the sentence.

Meloni's lawyer said she would donate the €5,000 to charity.

It is not the first time that Meloni has brought journalists and writers.

Last year, a Rome court fined best-selling author Roberto Saviano €1,000 plus legal expenses after he insulted Meloni on television in 2021 over her hardline stance on illegal immigration.

DW
===

My Take
Tanzania isiruhusu upuuzi Kwa Viongozi Kwa mgongo wa Demokrasia.Demokrasia iwe yenye kuheshimu utu wa mtu na sio vinginevyo.

View: https://www.instagram.com/p/C9mPkAct8jm/?igsh=cm84YXhpNGl6Nmg3
 
Euro 5000 sio sawa na billion 11. Ni around million 15 hivi za madafu.
 
Utamaduni wa kutukana Viongozi haijawahi kuwa Demokrasia na ndio maana huko Italy Mahakama imemuamuru Mwanndishi wa Habari Aliyemkashifu Waziri Mkuu Georgia Melon Kwa kumuita mfupi ametakiwa kumlipa fidia ya zaidi ya Bilioni 11 Kwa kumharibia heshima yake.

Inasikitisha Kwa Tanzania Baadhi ya watu wamekuwa wakimkashifu Rais Kwa matusi ya nguoni mitandaoni na wanaachwa Kwa Kisingizio kwamba ni Demokrasia.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9mA8dfqa6f/?igsh=MzJsc28xMXJ0NWxk

My Take
Tanzania isiruhusu upuuzi Kwa Viongozi Kwa mgongo wa Demokrasia.Demokrasia iwe yenye kuheshimu utu wa mtu na sio vinginevyo.

Demokrasia ni hoja sio Serikali ianze kuwachukulia hatua watu wote walioshindwa hoja na kutumia matusi kama msingi wa kulazimisha mambo Yao kama wanavyofanya Nchi za wenzetu.👇👇

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1811348229566447967?t=HqrMQlbr1cmGjZ86TQ0wSw&s=19

Mtu anayetukana raisi aadhibiwe tu hakuna namna hatuwezi kuwa taifa lisilokuwa adabu, sasa kama una kitu kinakukera kwa kiongozi huwezi kuwasilisha bila ya kutukana?? Acha watiwe adabu
 
Utamaduni wa kutukana Viongozi haijawahi kuwa Demokrasia na ndio maana huko Italy Mahakama imemuamuru Mwanndishi wa Habari Aliyemkashifu Waziri Mkuu Georgia Melon Kwa kumuita mfupi ametakiwa kumlipa fidia ya zaidi ya Bilioni 11 Kwa kumharibia heshima yake.

Inasikitisha Kwa Tanzania Baadhi ya watu wamekuwa wakimkashifu Rais Kwa matusi ya nguoni mitandaoni na wanaachwa Kwa Kisingizio kwamba ni Demokrasia.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9mA8dfqa6f/?igsh=MzJsc28xMXJ0NWxk

My Take
Tanzania isiruhusu upuuzi Kwa Viongozi Kwa mgongo wa Demokrasia.Demokrasia iwe yenye kuheshimu utu wa mtu na sio vinginevyo.

Demokrasia ni hoja sio Serikali ianze kuwachukulia hatua watu wote walioshindwa hoja na kutumia matusi kama msingi wa kulazimisha mambo Yao kama wanavyofanya Nchi za wenzetu.👇👇

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1811348229566447967?t=HqrMQlbr1cmGjZ86TQ0wSw&s=19

Unaongelea bullying…?
 
We chawa hesabu zili kupita kando,

Yaani euro 5000 ni bilioni 11?🤔
 
we iyo hbar ujasoma unakmbilia kuleta uzi jf tanzania watu wanakosoa madhaif ya viongoz uyo mwandish wa habar ajakosoa kadhihak maumbile ya wazir ya ufup na ajaanza hapo tangu kitambo miak mi2 nyuma ashawai kupost picha ya uyo wazir pind anakauongoz kenye chama akasema mtu mfup km uyu mie akigonga mlango nkifngua naez nsimuone so tafaut ya kukosoa utendaj wa utumish na kukosoa maumbile ya mtu aliombwa nayo ni vtu v2 tafaut af vle esab za curence znakupg chenga 5000£ sio bilion 11 ni milion 11 mwandish wa hbar apgwe fyn ya b11 anapat wap
 
we iyo hbar ujasoma unakmbilia kuleta uzi jf tanzania watu wanakosoa madhaif ya viongoz uyo mwandish wa habar ajakosoa kadhihak maumbile ya wazir ya ufup na ajaanza hapo tangu kitambo miak mi2 nyuma ashawai kupost picha ya uyo wazir pind anakauongoz kenye chama akasema mtu mfup km uyu mie akigonga mlango nkifngua naez nsimuone so tafaut ya kukosoa utendaj wa utumish na kukosoa maumbile ya mtu aliombwa nayo ni vtu v2 tafaut
Acha ujinga hakuna mtu anakukataza kukosoa ila usikosoe Kwa kukashifu na kutukana eg Mdude Huwa anaitwla website mabumunda sijui libibi na upuuzi mwingine kama huo.
 
Hakuna Kiongozi anaetukana, Kiongozi anasimamia manifesto aliyopigiwa kura sio kusikiliza Kila mtu au.kila.kundi kutakuwa hakuna Nchi
Hamna Mwananchi anatukana bila sababu za msingi ukiona mtu anatumia lugha kali kuna upumbavu viongozi wanafanya Kwa makusudi
 
Acha ujinga hakuna mtu anakukataza kukosoa ila usikosoe Kwa kukashifu na kutukana eg Mdude Huwa anaitwla website mabumunda sijui libibi na upuuzi mwingine kama huo.
tunaongelea fact unalet hbar za mdude kwak ndo ypo perfect?
 
Hata currecy conversion hujui af wajiona unaakili ya kuahauri sheria na mahakama
Halafu hakuwa na sababu ya kuibadilisha hiyo pesa kwa hela zetu za madafu kwenye kichwa chake cha habari. €5,000/£4,210 ni kitu gani bhana! Hiyo ni hela ya kawaida tu kwa Wazungu. Na sidhani kama thamani yake inayafikia haya madafu yetu.
 
Back
Top Bottom