Italy: Aliyemtukana Waziri Mkuu kwenye Mtandao wa X aamriwa kulipa fidia ya Tsh. Milioni 14

Demokrasia na uhuru wakujieleza wanao uhubiri hao wajinga ndio uko wapi?
Demoghasia ni mfumo ambao ushafeli muda sana
Inashangaza sana kuona watu wanaendelea kuhangaika nao na kuwalazimisha wenzao waufate kama wanafyolazimishwa afrique
 
Demokrasia na uhuru wakujieleza wanao uhubiri hao wajinga ndio uko wapi?
Demoghasia ni mfumo ambao ushafeli muda sana
Inashangaza sana kuona watu wanaendelea kuhangaika nao na kuwalazimisha wenzao waufate kama wanafyolazimishwa afrique
Uhuru wa kujieleza sio matusi na kashfa,hiyo ni matumizi mabaya ya uhuru.
Hapa jf ukitukana unakula ban lakini Kauli mbiu Yao inasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…