Kusini sijui kuna nini? Kila kusini ya nchi yoyote ndio wananchi wake huwa masikini.
Tanzania.
Sudani
Uganda
Kenya
Malawi
N.k
Mikoa yake ya kusini ni masikini
Valentina Nappi?Dah.... Nimewamiss sana...Aurora...Giulia na Valentina ....najichanga ... Ninakuja tena [emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawa!! Lakini kila nchi ina mvuto wa aina zake!! hapa TANZANIA tuna aina zote za kuvutia na uzuri wa hulka za kibinaadamu, utu na ukarimu..!! Ongezea na Mazingira ya misitu Maliasili pia !!Nimekaa miaka sita kwenye Hii nchi hakika ni nchi nzuri mnoo geographical location yake ni katikati ya ulaya watu wake ni wachapa kazi ila pia wapenda starehe mnoo dini kuu ni Roman Catholic
nchi Hii ina hazina ya historia ya kale iliyohifadhiwa vyema pengine kuliko nchi yoyote duniani pia miji yake ina ustaarabu wa kale kuliko nchi yoyote ya ulaya
Jaribu kutembelea miji Hii utaamini nisemayo
Turin
Milan
Genoa
Rome
Cicily
Kisiwa cha Cicily ndipo kundi la mafia lilizaliwa
Miaka sita niliyokaa italia nimejifunza mambo mengi umaskini upo hasa kusini ila kwa ujumla ni nchi tajiri yenye viwanda vingi vikubwa
Waitalia wanapenda Sana ngono hata viongozi wa serikali wanakumbwa Sana na haya makashfa ya ngono rejea kashfa ya dungadunga ya waziri mkuu tajiri Silvio berluscon angalau Romano prodi alikuwa ametulia ukifika Roma usisahau kufikia piaza navona
uzuri
Karibuni italia
Dah...siyo huyo mkuu...au umewahi kucheza naye muvi? maana wabongo si was mchezomchezo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Valentina Nappi?
Asante Sana mkuu kwa kuongezea nyama na kuonyesha upande WA pili wa italiaPia Italy ni nchi iliyo bara la ulaya ambayo kwa kiasi kikubwa ina characters za kiafrika ikiwemo ishu za corruption, kujenga miundo mbinu mibovu. Mfano mwaka jana, August 14, daraja Morandi Bridge lilivunjika na kuua watu si chini ya 39. Ikumbukwe hili ni daraja la kumi na mbili kuvunjika toka mwaka 2004.
Kuhusu miundombinu
The collapse of a bridge in Genoa on Tuesday, which killed 39 people, is the latest symptom of Italy’s infrastructure woes. More than 2m homes across the country are unstable, according to figures from the national statistics agency, Istat, and more than 156 school ceilings have fallen in over the last five years.
Kuhusu ubadhirifu
Corruption in Italy is a major problem. In Transparency International's annual surveys, Italy has consistently been regarded as one of the most corrupt countries in the Eurozone.[1] Transparency International's 2017 Corruption Perception Index ranks the country 54th place out of 180 countries.[2] Corruption costs Italy a reported €60 billion a year, which amount to four percent of its GDP. On the 2016 Corruption Perceptions Index, Italy took 61st place out of 174 countries, scoring on a par with Senegal, Montenegro, and South Africa.[3] Political corruption remains a major problem particularly in Southern Italy including Calabria, parts of Campania and Sicily where corruption perception is at a high level.[4][5] Political parties are ranked the most corrupt institution in Italy, closely followed by public officials and Parliament, according to Transparency International's Global Corruption Barometer 2013.[6]
Mwalusembemkuu ule mji uliyozungukwa na maji unaitwaje??
Ureno Portugal ndio wanaongoza Italy chamtoto ila ureno ni maskiniSijawahi kufika ila napenda kuangalia lifestyle ya watu kule,vipi mvinyo mwekundu kwa alcohol na non alcohol,ladha yake ikoje maana kuna mtu kaniambia Italy inaongoza kwa kuwa na mvinyo mtamu duniani...
Sent using Jamii Forums mobile app
BigwaMwalusembe
Mie Baloteli !!!Dah.... Nimewamiss sana...Aurora...Giulia na Valentina ....najichanga ... Ninakuja tena [emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kufika ila napenda kuangalia lifestyle ya watu kule,vipi mvinyo mwekundu kwa alcohol na non alcohol upi unapendwa zaidi?ladha zake zikoje maana kuna mtu kaniambia Italy inaongoza kwa kuwa na mvinyo mtamu zaidi duniani...
Sent using Jamii Forums mobile app
Venicemkuu ule mji uliyozungukwa na maji unaitwaje??