Korea kusini kwa buraza kiduku.Kusini sijui kuna nini? Kila kusini ya nchi yoyote ndio wananchi wake huwa masikini.
Tanzania.
Sudani
Uganda
Kenya
Malawi
N.k
Mikoa yake ya kusini ni masikini
Mmh mbona mnasifia nchi za watu namna hii kweli!!?Kaka ukiitaja Italy nachanganyikiwa. Mimi naipenda sana timu yao ya Taifa the Azzuri. Siku Ile Baggio anakosa penati na Brazil niliumwa. Mbaya zaidi unapoutaja mji wa Torino au Turin kule Fiat zinapotengenezwa! yule bibi kizee wa Torino anakotokea. Juventus klabu yangu pendwa the Bianconeri Forza Juve! Kwa nini nisipate mvinyo niongeze maisha?
America kusini piaKorea kusini kwa buraza kiduku.
Ongeza na nchi kusini mwa jangwa la sahara
Sent using Jamii Forums mobile app
Venicemkuu ule mji uliyozungukwa na maji unaitwaje??
Usiache kutupa Fursa za huko ukipata wasahaa.Sheria zao kwasasa ni Kali kwasababu ya wimbi la wakimbizi kutoka nchi za afrika kaskazini ila fursa kubwa huku kwa cheap labor ya waafrika ni viwandani ngoja nikipata muda nitafafanua hasa italia ya kaskazini ndio kwa matajiri na ndio kwenye fursa
Kweli hatuwezi sifia tuMmh mbona mnasifia nchi za watu namna hii kweli!!?
Nilitegemea mswahili kama wewe mwisho wa siku utasema karibu zanzibar au kilimanjaro kwa hao waitaliano lakin nothings at all?? unatupa habari za watu wanapenda starehe sijui madudu ganiNimekaa miaka sita kwenye Hii nchi hakika ni nchi nzuri mnoo geographical location yake ni katikati ya ulaya watu wake ni wachapa kazi ila pia wapenda starehe mnoo dini kuu ni Roman Catholic
nchi Hii ina hazina ya historia ya kale iliyohifadhiwa vyema pengine kuliko nchi yoyote duniani pia miji yake ina ustaarabu wa kale kuliko nchi yoyote ya ulaya
Jaribu kutembelea miji Hii utaamini nisemayo
Turin
Milan
Genoa
Rome
Cicily
Kisiwa cha Cicily ndipo kundi la mafia lilizaliwa
Miaka sita niliyokaa italia nimejifunza mambo mengi umaskini upo hasa kusini ila kwa ujumla ni nchi tajiri yenye viwanda vingi vikubwa
Waitalia wanapenda Sana ngono hata viongozi wa serikali wanakumbwa Sana na haya makashfa ya ngono rejea kashfa ya dungadunga ya waziri mkuu tajiri Silvio berluscon angalau Romano prodi alikuwa ametulia ukifika Roma usisahau kufikia piaza navona
Karibuni italia
Kusini sijui kuna nini? Kila kusini ya nchi yoyote ndio wananchi wake huwa masikini.
Tanzania.
Sudani
Uganda
Kenya
Malawi
N.k
Mikoa yake ya kusini ni masikini
Korea kusini kwa buraza kiduku.korea kaskazini ndiyo kwa toto tundu kiduku
Ongeza na nchi kusini mwa jangwa la sahara
Sent using Jamii Forums mobile app