Italy nchi nzuri pengine kupita zote duniani

Mmh mbona mnasifia nchi za watu namna hii kweli!!?
 
Ni kweli, Italia ikiwa moja ya nchi za mediterranean ina ardhi yenye mimea ya kijani inayovutia kwa macho. Miundombinu ya barabara zake zilizojengwa kiustadi kupita kwenye milima na mabonde ni kitu ambacho mtalii yeyote hawezi kukosa kukiona na kukitaja katika simulizi yake.

Jiji la Roma ndio mji wangu la kwanza kukanyaga kwa mara ya kwanza ndani ya bara la ulaya. Kabla ya kuruhusiwa kutua, tulilizunguka jiji kwa dakika 20 na kupata fursa ya kuona madhari ya jiji hilo na pemezoni kutokea angani. Masaa 16 niliyosubiri kuunganisha safari, yalitosha kabisa kujifunza kwa haraka kuwa watariano hawana kabisa ile kitu tunaita ubinadamu hasa kwa mwafrika.
 
Sheria zao kwasasa ni Kali kwasababu ya wimbi la wakimbizi kutoka nchi za afrika kaskazini ila fursa kubwa huku kwa cheap labor ya waafrika ni viwandani ngoja nikipata muda nitafafanua hasa italia ya kaskazini ndio kwa matajiri na ndio kwenye fursa
Usiache kutupa Fursa za huko ukipata wasahaa.
 
Ni wabaguzi sana hao wataliano hadi wanaweza wakakutemea mate ngozi nyeusi japo sio wote wana tabia hiyo ila wengi wao. Madem zao watamu kinoma noma na ukimkuna vilivyo lazima akahadithie wenzie
 
Nilitegemea mswahili kama wewe mwisho wa siku utasema karibu zanzibar au kilimanjaro kwa hao waitaliano lakin nothings at all?? unatupa habari za watu wanapenda starehe sijui madudu gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afrika Kusini (kwa Madiba) nako ni maskini?
Kusini sijui kuna nini? Kila kusini ya nchi yoyote ndio wananchi wake huwa masikini.
Tanzania.
Sudani
Uganda
Kenya
Malawi
N.k
Mikoa yake ya kusini ni masikini

oooooops!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…