Itatafsirikaje picha au video polisi Tanzania wakimdhibiti shabiki aliyevaa jezi ya Mamelodi au Al Ahly?

Itatafsirikaje picha au video polisi Tanzania wakimdhibiti shabiki aliyevaa jezi ya Mamelodi au Al Ahly?

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
Nasemea kama shabiki mmoja wa Simba/ Yanga akiamua kuvaa jezi ya Mamelody/ AHLY Kisha polisi wakamkamata ikakichukuliwa picha. Mamelody/ahly hawawezi kuitumia picha hiyo kudai kuwa OUR FANS WERE HARRASED and arrested, je video au picha itatofaitisha vipi Shabiki msouth Africa, mmisri na Shabiki MAANDAZI wa kibongo.

Wasouth Africa walivyo walalamishi inaweza kutusababishia shida ikionekana mwenye jezi ya Mamelody Hana uhuru uwanjani regardless ya passport.
 
Tungempuuza huyo jamaa!
Inaonesha jinsi gani tuna viongozi mapopoma!

Mpira ni burudani sio siasa!
Eti uzalendo!
Naachaje kushangilia pira biriani la mamelod ni niumie kwa pira butua butua la yanga au simba.

Hayo makatazo amuzuie mke wake na watoto wake.

Polisi jitengeni na watu wapumbavu kama hao kwa usitawi wa afya na familia zenu
 
Naona wadau mnashauri kumpuuza ,Ni sawa ila ni bora Yeye mwenyewe atengue kauli yake kwanza
Vinginevyo tutakuwa tunadharau kauli ya kiongozi ambaye yupo hapo alipo kama muwakilishi tu wa Rais otherwise,Rais mwenyewe amtengue bwana ndumbaro kwa kuongea mambo ambayo yanaweza yakaleta athari za kimichezo..
 
Naona wadau mnashauri kumpuuza ,Ni sawa ila ni bora Yeye mwenyewe atengue kauli yake kwanza
Vinginevyo tutakuwa tunadharau kauli ya kiongozi ambaye yupo hapo alipo kama muwakilishi tu wa Rais otherwise,Rais mwenyewe amtengue bwana ndumbaro kwa kuongea mambo ambayo yanaweza yakaleta athari za kimichezo..
Kama waziri hatatengua kauli yake na kuomba radhi wanamichezo na Watanzania kwa ujumla, nq kama Mh. Rais hatatengua uwaziri wa huyu waziri, maana yake Rais atakuwa amebariki hilo.
 
Nasemea kama shabiki mmoja wa Simba/ Yanga akiamua kuvaa jezi ya Mamelody/ AHLY Kisha polisi wakamkamata ikakichukuliwa picha. Mamelody/ahly hawawezi kuitumia picha hiyo kudai kuwa OUR FANS WERE HARRASED and arrested, je video au picha itatofaitisha vipi Shabiki msouth Africa, mmisri na Shabiki MAANDAZI wa kibongo.

Wasouth Africa walivyo walalamishi inaweza kutusababishia shida ikionekana mwenye jezi ya Mamelody Hana uhuru uwanjani regardless ya passport.
polisi hawatazuia mtu kuvaa jezi
 
Kwenye mpira ticket yako ndo inakuingiza uwanjani na siyo passport au jezi, huyo waziri ana kichaa
 
Malinzi ndo maana alimfungiaga huyu jamaa,


Akiendelea hivi muda si mrefu tutavuna mabua.
 
Kwenye mpira ticket yako ndo inakuingiza uwanjani na siyo passport au jezi, huyo waziri ana kichaa
Halafu Hawa chawa akina Msigwa, Ndumbalo wanatufanya saa nyingine tuombee hata hizi timu zetu Bora zifungwe. Yaani maneno yao mara Mh Rais mara nyonyonyonyo yanakera sana. Yalishatutokea 1993 wakati Mzee Mwinyi alipotaka kutafuta sifa za Bure tulifungwa na Stella. Afadhali Hawa jamaa wakae kimya wasubiri kutolea maoni end results.
 
Halafu Hawa chawa akina Msigwa, Ndumbalo wanatufanya saa nyingine tuombee hata hizi timu zetu Bora zifungwe. Yaani maneno yao mara Mh Rais mara nyonyonyonyo yanakera sana. Yalishatutokea 1993 wakati Mzee Mwinyi alipotaka kutafuta sifa za Bure tulifungwa na Stella. Afadhali Hawa jamaa wakae kimya wasubiri kutolea maoni end results.
Hii goli ya mama heri hata isingekwepo, ushindi tu ukitokea machwa wanaanza kusifu goli ya maana as if goli ya mama ndo mchango mkubwa,wakati mil 10 ya goli 1 hata haitoshi kwa matumizi ya timu kwenda mkoani na kurudi
 
Tungempuuza huyo jamaa!
Inaonesha jinsi gani tuna viongozi mapopoma!

Mpira ni burudani sio siasa!
Eti uzalendo!
Naachaje kushangilia pira biriani la mamelod ni niumie kwa pira butua butua la yanga au simba.

Hayo makatazo amuzuie mke wake na watoto wake.

Polisi jitengeni na watu wapumbavu kama hao kwa usitawi wa afya na familia zenu

Yaan jamaa anaona uzalendo Upo kwenye mpira ila kwenye kufuja pesa za walipa kodi ni birian tu poor wazir
 
Back
Top Bottom