ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Hivi hii ndio Madison Square?Centre park ni Bustani ya mjini kati ya Upande wa Magharibi mwa Upande wa Juu na vitongoji vya Upper East Side vya Manhattan huko New York City ambayo ilikuwa mbuga ya kwanza yenye mandhari nchini Marekani.
View attachment 2999322View attachment 2999323View attachment 2999324View attachment 2999325View attachment 2999326View attachment 2999327View attachment 2999328View attachment 2999329View attachment 2999330
Ni hifadhi ya sita kwa ukubwa jijini, iliyo na ekari 843 (hekta 341), na mbuga iliyotembelewa zaidi ya mijini nchini marekani, na inakadiriwa kuwa na wageni milioni 42 kila mwaka.
Usikute manniger hapo hujisaidia kwa kunya kunyaCentre park ni Bustani ya mjini kati ya Upande wa Magharibi mwa Upande wa Juu na vitongoji vya Upper East Side vya Manhattan huko New York City ambayo ilikuwa mbuga ya kwanza yenye mandhari nchini Marekani.
View attachment 2999322View attachment 2999323View attachment 2999324View attachment 2999325View attachment 2999326View attachment 2999327View attachment 2999328View attachment 2999329View attachment 2999330
Ni hifadhi ya sita kwa ukubwa jijini, iliyo na ekari 843 (hekta 341), na mbuga iliyotembelewa zaidi ya mijini nchini marekani, na inakadiriwa kuwa na wageni milioni 42 kila mwaka.
YesOkay one day yes
Ni pazuri.Itabidi tukuagize wewe na Irene Uwoya mkacheze filamu inayohusu "How to be a good student of life "!Centre park ni Bustani ya mjini kati ya Upande wa Magharibi mwa Upande wa Juu na vitongoji vya Upper East Side vya Manhattan huko New York City ambayo ilikuwa mbuga ya kwanza yenye mandhari nchini Marekani.
View attachment 2999322View attachment 2999323View attachment 2999324View attachment 2999325View attachment 2999326View attachment 2999327View attachment 2999328View attachment 2999329View attachment 2999330
Ni hifadhi ya sita kwa ukubwa jijini, iliyo na ekari 843 (hekta 341), na mbuga iliyotembelewa zaidi ya mijini nchini marekani, na inakadiriwa kuwa na wageni milioni 42 kila mwaka.
Mbona sisi tuna Ngorongoro na Manyara, Umshatembelea huko?Okay one day yes
Wenyeji wenyewe/maasai wanafurushwa.Yeye haogopi kufurushwa kama mtu aliyeleta fujo baa?Mbona sisi tuna Ngorongoro na Manyara, Umshatembelea huko?
Au ni mpaka ufike kwa mzungu!?
Nimefika mikumi,kinapa,ngorongoro na Serengeti kwa Sasa natakaMbona sisi tuna Ngorongoro na Manyara, Umshatembelea huko?
Au ni mpaka ufike kwa mzungu!?
Halafu mbona wao wanakuja sana hukuMbona sisi tuna Ngorongoro na Manyara, Umshatembelea huko?
Au ni mpaka ufike kwa mzungu!?