mlaulesteven
Member
- Sep 14, 2013
- 13
- 2
Tunaiomba wadau wa elimu mkoa wa dodoma na taifa kwa ujumla, waitazame shule hii ya ITEGA SECONDARY iliyopo maeneo ya nkuhungu dodoma. Shule hii imekua haina taaluma ya kuridhisha kwa muda mrefu. Shule haina baadhi ya walimu wa masomo zaidi ya miaka miwili sasa. Mfano mwalimu wa biology. Watoto we2 wa kidato cha pili hawajui watajbu nn mtihani wa taifa kdato cha pili. Mbaya zaidi wazaz 2nalpa michango ya rekebisho lakini ufundishaji ni wa kubabaisha.