Itifaki ipo vipi lemutuz kumuita mkuu wa mkoa lecomandant fidel marshall?

Itifaki ipo vipi lemutuz kumuita mkuu wa mkoa lecomandant fidel marshall?

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Kwa muda mrefu nimekuwa nikimuona lemutuz akiongeza chumvi katika post zake za insta na kumuita mkuu wa mkoa wa dar fidel marshal

Je ni sawa hii?

Anaendana na fidel marshall kweli?
 
Ni ujinga uliopitiliza, yaani mtu mzima aliruka hatua za makuzi ya binadamu. Ana act like teenager wakati ni babu mstaafu kabisa.
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikimuona lemutuz akiongeza chumvi katika post zake za insta na kumuita mkuu wa mkoa wa dar fidel marshal

Je ni sawa hii?

Anaendana na fidel marshall kweli?
sasa wakiongea huko kwenye vijiwe vya mtandao inakusumbua vipi?
 
Kujipendekeza tu, hamna lingine. Ila GucciGrace alifanikiwa sana kwa style ya kujipendekeza.
downloadfile.jpg
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikimuona lemutuz akiongeza chumvi katika post zake za insta na kumuita mkuu wa mkoa wa dar fidel marshal

Je ni sawa hii?

Anaendana na fidel marshall kweli?
Umeshasema chumvi? Unajadili chumvi?
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikimuona lemutuz akiongeza chumvi katika post zake za insta na kumuita mkuu wa mkoa wa dar fidel marshal

Je ni sawa hii?

Anaendana na fidel marshall kweli?
hivi alikiba kuitwa KINGKIBA,nasibu kuitwa SIMBA
hizo ni heshima za kutamkiana na kujionesha
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikimuona lemutuz akiongeza chumvi katika post zake za insta na kumuita mkuu wa mkoa wa dar fidel marshal

Je ni sawa hii?

Anaendana na fidel marshall kweli?

What does The name „Lichadi „ mean and what’s you business. Remember that’s social Media .why are you „people“ hiding your frustrations in life behind someone’s else life. What are you then a woman interested in Lemutuz or a man jealous of his way of life. Youngmen grow and work for your present and future.
 
Back
Top Bottom