Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
Hayawi hayawi sasa yanakuwa,
Kile kilio cha wazalendo na waaminio katika lugha yao sasa kinaonyesha kuchanua, baada ya serikali kuridhia mswaada wa uanzishwaji wa Itifaki ya Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki
Kwamujibu wa malengo yaliyo ndani ya ITIFAKI hiyo yanatoa taswira ya kufikia hatamu za Taifa letu kuzaliwa upya!
Makao makuu ya ITIFAKI hii yatakuwa Tanzania mahali panapoaminika kuwa ndipo zalio halisi la lugha hii adhimu ya Kiswahili!
Ni changamoni gani tutakazo zikabili katika harakati hizi kama watanzania na waswahili wa Afrika Mashariki?
Kile kilio cha wazalendo na waaminio katika lugha yao sasa kinaonyesha kuchanua, baada ya serikali kuridhia mswaada wa uanzishwaji wa Itifaki ya Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki
Kwamujibu wa malengo yaliyo ndani ya ITIFAKI hiyo yanatoa taswira ya kufikia hatamu za Taifa letu kuzaliwa upya!
Makao makuu ya ITIFAKI hii yatakuwa Tanzania mahali panapoaminika kuwa ndipo zalio halisi la lugha hii adhimu ya Kiswahili!
Ni changamoni gani tutakazo zikabili katika harakati hizi kama watanzania na waswahili wa Afrika Mashariki?