Watanzania,
Naomba kufahamishwa 'itikafu' maana yake ni nini?
Lengo lake ni nini?
Nimeshangazwa na habari hii ya kusikitisha kutoka gazeti la mwananchi la leo.
Kama kiongozi wa nchi anasomewa itikafu ili 'AFE' je kajamba nani watasalimika vipi?
Lakini Mungu wetu ni mwenye nguvu sana. Mungu atakulinda Rais wetu.
Naomba kufahamishwa 'itikafu' maana yake ni nini?
Lengo lake ni nini?
Nimeshangazwa na habari hii ya kusikitisha kutoka gazeti la mwananchi la leo.
Kama kiongozi wa nchi anasomewa itikafu ili 'AFE' je kajamba nani watasalimika vipi?
Lakini Mungu wetu ni mwenye nguvu sana. Mungu atakulinda Rais wetu.