Itikafu ni maombi maalumu yanayofanywa na kundi la waumini wa dini ili kumshitaki mtu kwa M/mungu kwa kuwaonea!!Watanzania,
Naomba kufahamishwa 'itikafu' maana yake ni nini?
Lengo lake ni nini?
Nimeshangazwa na habari hii ya kusikitisha kutoka gazeti la mwananchi la leo.
Kama kiongozi wa nchi anasomewa itikafu ili 'AFE' je kajamba nani watasalimika vipi?
Lakini Mungu wetu ni mwenye nguvu sana. Mungu atakulinda Rais wetu.
Itikafu=ITIQAF.Neno hilo ni lakabu ya kiarabu. Itiqaf, ni ile hali ukaayo mahsusi kumuomba na kumlilia Mwenyezi Mungu juu ya yote yanayokusibu au kuomba msaada. Mara nyingi Itiqaf hufanyika katika zile siku 10 za mwisho wa mfungo wa mwezi wa Ramadhani. Ambapo wachamungu wa kweli hukaa misikitini pasipo kujihusisha na masuala mengine yeyote ya kimaisha au kidunia wala kuongea na waaminio waingiao kusali zaidi ya 'Assalaam alaikhum' pekee. Kwamba waaminio wanaokaa Itiqaf basi muda wao wooote wa hizo siku 10 hutumika katika ibada tu, yaani kuongea na Mwenyezi Mungu tu. Mwisho huwa ni mwezi unapoandama na kuthibitishwa kuwa siku inayofuata ni Eid.JK amechanganya mambo, kuna kitu huitwa 'MUBAHALA'. Mubahala ndio hutumika rasmi kuamua NGUVU ya Muumba ichukue hatua. Tena Mubahala huwa ni wazi ambapo mshitaki na mshitakiwa wote hupeana taarifa rasmi (kubainisha muongo na mkweli), (apokelewaye dua na asiyepokelewa dua). Mubahala hutoa idadi ya siku maalum hukumu ya Muumba kuwa imetolewa.JK kachanganya kati ya 'itiqaf' na 'mubahala', anapaswa aingiliapo masuala ya dini awahusishe wanazuoni wa kiislam kumpatia tafsiri yenye tafsida nzuri kwa umma.Rock City.Watanzania,Naomba kufahamishwa 'itikafu' maana yake ni nini?Lengo lake ni nini? Nimeshangazwa na habari hii ya kusikitisha kutoka gazeti la mwananchi la leo.Kama kiongozi wa nchi anasomewa itikafu ili 'AFE' je kajamba nani watasalimika vipi?Lakini Mungu wetu ni mwenye nguvu sana. Mungu atakulinda Rais wetu.
M/mungu huwa haipokei dua hiyo endapo mtu anayesomewa/ombewa yupo kwenye haki ya upendo wa watu wote anaowatawala bila kujali dini zao.Labda kuongezea kwa mleta mada, iliwahi kuwa effective? Kuna mtu/watu waliwahi kufa/kudhurika kwa hii kitu, nina wasiwasi maana raisi juzi alilitamka hili huku akicheka.
Watanzania,
Naomba kufahamishwa 'itikafu' maana yake ni nini?
Lengo lake ni nini?
Nimeshangazwa na habari hii ya kusikitisha kutoka gazeti la mwananchi la leo.
Kama kiongozi wa nchi anasomewa itikafu ili 'AFE' je kajamba nani watasalimika vipi?
Lakini Mungu wetu ni mwenye nguvu sana. Mungu atakulinda Rais wetu.
Damu ya Yesu itamlinda rais wetu Jakaya Mrisho Kikwete dhidi ya nia ovu ya kishetani inayotaka kumdhuru afe, vyovyote vile inavyoitwa, aidha itikafu au mubahala
Watanzania,
Naomba kufahamishwa 'itikafu' maana yake ni nini?
Lengo lake ni nini?
Nimeshangazwa na habari hii ya kusikitisha kutoka gazeti la mwananchi la leo.
Kama kiongozi wa nchi anasomewa itikafu ili 'AFE' je kajamba nani watasalimika vipi?
Lakini Mungu wetu ni mwenye nguvu sana. Mungu atakulinda Rais wetu.
Itikafu ni maombi maalumu yanayofanywa na kundi la waumini wa dini ili kumshitaki mtu kwa M/mungu kwa kuwaonea!!
Ni sehemu gani katika bara Arab waarabu waliwaombea marais wa Marekani wafe?Kwa kuongezea hii inaonekana kuwapata masini tu....kwani waarabu walisha waombea sana maraisi wa Marekani wafe, au washindwe vita huko iraq, afghanistan n.k.......lakini haisadii kabisa waarabu wanapigwa viba na kushindwa vita vibaya.. huku maraisi wa marekani wakiendelea kuishi maisha yao kwa afya njema.
Yeah, Marekani ameshindwa vita licha ya kumkamata Saddam akiwa hai, kumkamata Osama akiwa hai, kuendelea kuwa na majeshi ndani ya Iraq na Afghanistan na kusababisha mvurugano baina ya wananchi ndani ya nchi husika. Iraq na Afghanistan zilishinda vita, licha ya kuwa Marekani bado ina vikosi kwenye ardhi zao!Ni sehemu gani katika bara Arab waarabu waliwaombea marais wa Marekani wafe?
Lakushindwa vita Iraq na Afghanistan ni kweli na umejionea mwenyewe jinsi Marekani anavyoshindwa Afghanistan na Iraq kijeshi, kimorali na KIUCHUMI.
1994 baada ya kadhia ya Mabucha ya Nguruwe Mrema alisomewa juilize alipo, Ali Ameir Mohamed alisomewa baada ya Mauaji ya Mwembechai hivi sasa yupo kama hayupo, Askof Lwambano baada ya kusomewa kafumaniwa kafukuzwa Kanisani Mburahati, Chenge baada ya kupitisha sheria ya Ugaidi akasomewa muda mfupi baadae likafumuka la vijisent akaporomoka kutoka kwenye uwaziri, Sofia kawawa kwa watu wazima wanaijua kadhia ya 1988 habari yake muulize Vita kawawa, hii kitu ni maombi ya kumshtakia Mwnz mungu kama huna hatia hakuna neno ila kama kwenye Dhulma ya Waislam wakapatikana kweli wachamungu lazima upate khabar yake, Kama jakaya anadhulumu waislam kweli ajiandae!Labda kuongezea kwa mleta mada, iliwahi kuwa effective? Kuna mtu/watu waliwahi kufa/kudhurika kwa hii kitu, nina wasiwasi maana raisi juzi alilitamka hili huku akicheka.
Huyu ------ sijui kweli ni Muislam au kanyaboya tu!! Kuna uhusiano gani kati ya ITIQAF na kuombewa adhabu kwa Mungu? Alikuwa anamaanisha AL BADR au nini? ITIQAF ni ibada inayofanyika kwenye kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhan kuomba maghafillah(msamaha na kumtaka Mungu akunyooshee mahitaji yako), sasa inauhusiano gani na yeye kuombewa afe?
Kumbe jamaa ni dhaifu hadi kwenye dini yake duh!Kweli ni janga la dunia!!
Itikafu ni maombi maalumu yanayofanywa na kundi la waumini wa dini ili kumshitaki mtu kwa M/mungu kwa kuwaonea!!
ungejua kuwa Uislam na uarabu ni vitu tofauti usingeandika ulichoandika, Hujui kuwa hata makanisa ya ufufuo Misri yanachimbua majini kwa lugha ya kiarabuKwa kuongezea hii inaonekana kuwapata masini tu....kwani waarabu walisha waombea sana maraisi wa Marekani wafe, au washindwe vita huko iraq, afghanistan n.k.......lakini haisadii kabisa waarabu wanapigwa viba na kushindwa vita vibaya.. huku maraisi wa marekani wakiendelea kuishi maisha yao kwa afya njema.
huyu ------ sijui kweli ni muislam au kanyaboya tu!! Kuna uhusiano gani kati ya itiqaf na kuombewa adhabu kwa mungu? Alikuwa anamaanisha al badr au nini? Itiqaf ni ibada inayofanyika kwenye kumi la mwisho la mwezi wa ramadhan kuomba maghafillah(msamaha na kumtaka mungu akunyooshee mahitaji yako), sasa inauhusiano gani na yeye kuombewa afe?
Kumbe jamaa ni dhaifu hadi kwenye dini yake duh!kweli ni janga la dunia!!
unachanganya mambo mzee,hutakiwi kuwa professional wa dini husika ili uiamini!
Kama unafikiri kuwa waliteketeza mabilioni ya mapesa yao kwa ajili ya kumkamata Saddam hai basi jijue kuwa una tatizo!Yeah, Marekani ameshindwa vita licha ya kumkamata Saddam akiwa hai,
Marekani hakuwa na haja ya kupoteza mabilioni ya pesa zake kwa ajili ya kuweka vikosi vyake Iraq na Afghanistani.Jabulani said:Iraq na Afghanistan zilishinda vita, licha ya kuwa Marekani bado ina vikosi kwenye ardhi zao!