Itinerary hitilafu messages za PM ziwa hadharani

Unajifanya mtakatifu mbn kwenye I'd yang nyingine unakeshaga pm[emoji23][emoji21]

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha.... hakuna kitu kama hicho

ndio maana najiuliza huko PM mnaongeaga mambo yapi yanayowafanya muogope yawe hadharani

1-mnatakaga kupindua nchi? [emoji23][emoji23]
2-mnapangaga mipango ya kuchinja member wengine? [emoji23][emoji23]

yani bado najiuliza hofu inatoka wapi [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye matumizi ya mitandao na simu ni muhimu kwa kila unachoandika kiwe ni kitu ambacho unaweza kuishi nacho hata kama ID yako ikiwa exposed kwa watu wengine au public......for any reason.
 
Wewe Jimy usijifanye mtakatifu hebu futa kauli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Siku ya kukimbia Id utarud kufuta comment[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Jimy usijifanye mtakatifu hebu futa kauli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Siku ya kukimbia Id utarud kufuta comment[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] demiss mimi kwa kweli kwenye utakatifu sipo niwe mkweli tu

sema ndio hivyo sidhan kama PM yangu ina vitu vitakavyonifanya niogope vikiwa hadharan [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…