Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
Na KWELI kwa UBORA huo Imetolewa RAUNDI ya KWANZA Mechi ya Kwanza BAO 1-0 na Mechi ya Pili Bao 1-0 Huo ndio UBORA WAKEYanga ni Team kubwa tanzania hakuna team kama hiyo zote zilizobaki ni wapiga kelele tu na wachezaji wazeee
Yanga si timu bora ila Yanga ni waharibifu na wavurugaji, wanafanya yao kwa mbabe wenu kisha wanatokomea huku wakiwacheka.Yanga ni Team kubwa tanzania hakuna team kama hiyo zote zilizobaki ni wapiga kelele tu na wachezaji wazeee
Kwa uelewa wako Nigeria ipo Tanzania auNa KWELI kwa UBORA huo Imetolewa RAUNDI ya KWANZA Mechi ya Kwanza BAO 1-0 na Mechi ya Pili Bao 1-0 Huo ndio UBORA WAKE
Hivi hakuna namna ya Simba kufanya usajili wa dharula ?Mimi ni mwana msimbazi damudamu ila niseme tuu ukweli kuwa mechi ya leo tulizidiwa. Pengo la Chama na Miquessone limeonekana leo
Subir dirisha dogo tutamchukua hata Fatma Dewji aongeze nguvu Safu ya ushambuliaji.Hivi hakuna namna ya Simba kufanya usajili wa dharula ?
Subir dirisha dogo tutamchukua hata Fatma Dewji aongeze nguvu Safu ya ushambuliaji.
... Simba sura zile zile miaka nenda rudi. Mbwa nzee hafundishiki mbinu mpya. Wapo wa kutosha hawakustahili kuwemo kwenye timu by now.
Yanga si timu bora ila Yanga ni waharibifu na wavurugaji, wanafanya yao kwa mbabe wenu kisha wanatokomea huku wakiwacheka.
Mchukueni hata BabraSubir dirisha dogo tutamchukua hata Fatma Dewji aongeze nguvu Safu ya ushambuliaji.
Ahsante kwa taarifa...
Yanga ndio wanawavuruga kisha wanatokomea huku wakiwacheka.Katafute hela acha kutuvuruga asubh hii
Ubora wa timu ni uwanjani na mashindanoni.Ligi ndo hizo zimeanza.Ligi ya mabingwa Afrika tayari ni watazamaji kama Lipuli,Pamba,Geita Gold,Ruvu Shooting na Gwambina. PL ndiyo hiyo mechi 1 mnaanza leo.Huo ubora kwa vigezo gani?Yanga ni Team kubwa tanzania hakuna team kama hiyo zote zilizobaki ni wapiga kelele tu na wachezaji wazeee
Mimi nilidhani mnazungumzia ubora kati ya timu za hapa Tanzania, Naona wewe unazungumzia ubora duniani! Umeondoa maana ya mjadala.Ubora wa timu ni uwanjani na mashindanoni.Ligi ndo hizo zimeanza.Ligi ya mabingwa Afrika tayari ni watazamaji kama Lipuli,Pamba,Geita Gold,Ruvu Shooting na Gwambina. PL ndiyo hiyo mechi 1 mnaanza leo.Huo ubora kwa vigezo gani?