Itoshe Kusema Hakuna Team Bora Tanzania kama YANGA

Mimi nilidhani mnazungumzia ubora kati ya timu za hapa Tanzania, Naona wewe unazungumzia ubora duniani! Umeondoa maana ya mjadala.
Ili uonekane tajiri unajipima na majirani wa mtaani kwenu tu? Toka nje ya boksi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…