Its 3pm the RED PHONE is ringing at Ikulu....

Nafikiri Bora Kutuma Txt Tu Mana Inawezekana Hata Hiyo Simu Ikawa Kwenye Silent Mode It Late Nite Remember!!!!!!
 



...duu trust me kwa kuangalia hii picha unaweza kuona feelings za muungwana kwa hichi kibinti...ule mkono sijui ame wrap wapi..maana sioni...nyuma anashika nini....du...ukiniambia baada ya hapo aliwaomba wasaidizi wake msaada kwenye tuta kukapata hako kabinti sintakataa....

du muungwana ana test ya vimwana kweli!!!.....A.K.A NICHOLAS SAKOZY wetu
 
GT, umenipa wazo zuri sana na hii simu nyekundu....
 
Wana JF...huyu Bint ni yupi? na Hii picha ilipigwa wakati gani? wakati yu president au la?....

GT umeanzisha mada kule KUHUSU 1st DATING ....kimsingi ukionesha unayafagilia mambo ya DATING...for whatever reasons....Vipi unakuwa na GUTs za Kumsema JK on the same mission? Ujasiri unaupata wapi?...Samahani unajua kama wewe ni mlevi, ujasiri wa kumwambia mlevi mwezio aache Pombe unaupata wapi?..Tuweni wa kweli...
 



JAMANI WATAALAMU HATA MIMI SIJAJUA MAANA YA HIYO RED PHONE,TAFADHALI TUELIMISHENI..............THANKS IN ADVANCE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…