Hongera sana mkuu.
Sina mengi ya kusema maana
mimi ndo kwanza nina miezi 8 kwenye hiyo club.
Nawatakia siku njema.
Nyie bado mko kwenye honey moon.
Mtunze mwenzako and it shall all be well with you.
Ndoa ni baraka toka kwa Mwenyezi Mungu maana ndio the very first institution ktk historia ya mwanadamu.
Wana JF nimeona nisikae kimya bila kuwajuza wema wa Mungu kwangu.
Najua wengine mtakuwa mmevaa kijani/njano kusherekea "chama chetu cha mapinduziiii chajenga nchi" (itikia ni wimbo) huku wengine (pengine) mmevaa nguo nyeusi kuashiria maombolezo kitaifa.
Leo ninatimiza miaka 11 toka nimekula kiapo cha kuishi (kama mume na mke) na huyu mdada.
Tulikutana 1994 na ndoa ikafungwa miaka 6 baadae
Ndani ya miaka hii 11 Mungu kanijalia kuwa baba wa boy-10 na girl-7 na ukiwaangalia ni dhahiri hakunichakachua labda awe amechakachua na mdogo wangu, hahaahahaaa!!!
Ni miaka ya kuishi na mwanamke ambaye alichukua nafasi ya mama na dada yangu katika maisha.
Miaka 11 imenifundisha nisimwamini kila mtu ninaposigana na mke wangu. Nakumbuka in our early years niliwahi kushare na mchungaji juu ya tofauti zangu na mke wangu only for the pastor to use my story in his preaching the next sunday. Siku hizi nayasovu mwenyewe tu, no outsiders!
Miaka 11 ya kutambua kwamba vitu vidogo sana (thanks, sorry, karibu, darling..) vinajenga uhusiano na vitu vidogo pia huwasha moto.
Jamani wakati mwenzenu nashereheka 11 years kuna experience zipi (nzuri/mbaya/vituko) umewahi pitia kwenye mahusiano yako.
Karibuni tuzungumze!!!!!!!!!!!!!!!!
Real Man,
Kwanza nikupe hongera kwa kutimiza miaka hiyo 11 na hongera hizi pia zimfikie Mkeo.
Pili, nikupongeze na kukuuliza pia hapo kwenye red umeweza kutambua nafasi yake kwako na sijui umetambuaje,ilikuwa lini ?, Na kwa sababu hiyo je umemshukuru au unamshukuru kwa namna gani?
Tatu,hapo kwenye blue nikusihi usiache kutimiza wajibu wako kila siku na leo pia wakati mnapongezana usiyasahau hayo maneno.Nashukuru sana kwa kunikumbusha hasa hapo kwenye red na blue naminiko kwenye ndoa kwa muda wa miaka mitano sasa nafuata nyayo zako.
Mungu akujalie maisha marefu yenye mafanikio tele wewe,mkeo na watoto wenu.
Mbarikiwe sana
RealMan hongera sana hapo sasa ndio usilegeze kamba kaza buti ndio upo kwenye kile kipindi kila mtu anakisema ni kigumu ajabu 10-20 yrs of mariage.
Sina matatizo mengine ambayo yanawaface wanandoa wengi kama sijui gubu, uchoyo, kiburi,heshima yako sawasawa,tatizo ni cheating tu,mimi niliishi kama niko paradise na mme wangu na watoto wetu pia mpaka ilipotimu miaka 12 kwenda 13.kivumbi kikaanza ila naona kwenye swala zima la ndoa mwanaume ndio anaweza kufanya ndoa ikawa stable au ikateteleka sababu ni kama ameshika mpini wa jembe na mwanamke kashika kwenye makali.
Kwa hiyo jitahidi sana kwenye hili la cheating maana naona ndio tatizo sugu ambalo majeraha yake kuyatibu si kazi ndogo.
HAPPY ANNIVERSARY :clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:
Hongera Realman.....nimejifunza kutoka kwako.....mpe hongera zetu na wifi....Mungu aendelee kuwatunza na familia yako.
Ups and Downs tumezipitia kwa kweli.
Ujauzito wake wa kwanza was like hell to me, she was too moody.
Kaka nimewahi kuamka saa 8 usiku nikatafute kuku wa kuchoma, mwanaume nikaingia mtaani!!
Wana JF nimeona nisikae kimya bila kuwajuza wema wa Mungu kwangu.
Najua wengine mtakuwa mmevaa kijani/njano kusherekea "chama chetu cha mapinduziiii chajenga nchi" (itikia ni wimbo) huku wengine (pengine) mmevaa nguo nyeusi kuashiria maombolezo kitaifa.
Leo ninatimiza miaka 11 toka nimekula kiapo cha kuishi (kama mume na mke) na huyu mdada.
Tulikutana 1994 na ndoa ikafungwa miaka 6 baadae
Ndani ya miaka hii 11 Mungu kanijalia kuwa baba wa boy-10 na girl-7 na ukiwaangalia ni dhahiri hakunichakachua labda awe amechakachua na mdogo wangu, hahaahahaaa!!!
Ni miaka ya kuishi na mwanamke ambaye alichukua nafasi ya mama na dada yangu katika maisha.
Miaka 11 imenifundisha nisimwamini kila mtu ninaposigana na mke wangu. Nakumbuka in our early years niliwahi kushare na mchungaji juu ya tofauti zangu na mke wangu only for the pastor to use my story in his preaching the next sunday. Siku hizi nayasovu mwenyewe tu, no outsiders!
Miaka 11 ya kutambua kwamba vitu vidogo sana (thanks, sorry, karibu, darling..) vinajenga uhusiano na vitu vidogo pia huwasha moto.
Jamani wakati mwenzenu nashereheka 11 years kuna experience zipi (nzuri/mbaya/vituko) umewahi pitia kwenye mahusiano yako.
Karibuni tuzungumze!!!!!!!!!!!!!!!!
Gaga!!!!!!
Thank you very much, maneno yako yamejaa ukweli 100%.
Nitaweka tahadhari dada yangu maana wanasema aliyesimama aangalie asianguke.
Na ni kweli pia sisi wanaume ni chanzo cha uimara ama kutetereka kwa ndoa nyingi. Hatuko on the receiving end na pengine ndio maana tunajisahau.
Unadhani kwa nini baadhi ya wanaume wanabadilika ktk kipindi hiki (10-20)??
Asante kwa kushea experience yako maana inatujenga wengine, tumeona kina Msindima ndo kwanza ana 8months.
Asante sasa Sister!
Toka nimejoin JF ni kama kukutana na ndugu yako mlokuwa hamfahamiani.
Wifi atapata salaam maana siku hizi akiona nacheka huku nimeshika simu husema "Jamii Forums hao"!!!!!!!!