Itungiwe sheria mwanasiasa au mtumishi wa umma anayelipwa mshahara na serikali ni marufuku kutibiwa hospitali za nje, watoto wao wasome shule za umma

Itungiwe sheria mwanasiasa au mtumishi wa umma anayelipwa mshahara na serikali ni marufuku kutibiwa hospitali za nje, watoto wao wasome shule za umma

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Wanasiasa ndio watunga sera za afya na elimu , watumishi wa umma hutekeleza hizo sera. Kama shule za umma hazina hadhi maana yake ni kwamba wanasiasa pamoja na watumishi wa umma wameshindwa kutimiza wajibu wao.

Sasa mwarobaini wake ni kuweka Sheria ya kulazimisha wanasiasa wote hasa wale ambao mshahara wanalipwa na serikali watoto wao marufuku kupeleka shule za binafsi.

Mwanasiasa akiumwa atibiwe hapa nchini mpaka umauti umkute au mpaka apone.

Hii nchi tukichekeana hatufiki. Miaka na miaka wahuni wachache watakuwa wakiwachezesha sindimba wananchi wengi
 
Wanasiasa ndio watunga sera za afya na elimu , watumishi wa umma hutekeleza hizo sera. Kama shule za umma hazina hadhi maana yake ni kwamba wanasiasa pamoja na watumishi wa umma wameshindwa kutimiza wajibu wao.
Sasa mwarobaini wake ni kuweka Sheria ya kulazimisha wanasiasa wote hasa wale ambao mshahara wanalipwa na serikali watoto wao marufuku kupeleka shule za binafsi.
Mwanasiasa akiumwa atibiwe hapa nchini mpaka umauti umkute au mpaka apone.
Hii nchi tukichekeana hatufiki. Miaka na miaka wahuni wachache watakuwa wakiwachezesha sindimba wananchi wengi
Kwamba viongozi wajifunge? Haitokaa itokee
Lakini pia uko ni kuwabana wananhconwenyewe uwezo wasiende huko kisa sheria, una pesa nenda huna pambana hapa nyumbani

Hakuna uwanja wa nyumbani katika suala la kupigania uhai
 
Nakumbuka mwaka 2019 spika Job Ndugai ndio alikuwa "mgonjwa ghali" kutokana na bili kubwa ya matibabu nchini India.

Ni awamu ambayo tuliambiwa aliyekuwepo aligharamia ujenzi wa hospitali kwa kiasi kikubwa tangu Tanganyika ipate uhuru .
 
Kila siku wanasifia kuongeza vituo vya afya na shule za kata, wanataka wewe usomeshe wanao shule za kata na utibiwe Mloganzila. Wao wakiumwa mafua tu wanaenda India watarudi huko kuzikwa tu.
 
Wanasiasa ndio watunga sera za afya na elimu , watumishi wa umma hutekeleza hizo sera. Kama shule za umma hazina hadhi maana yake ni kwamba wanasiasa pamoja na watumishi wa umma wameshindwa kutimiza wajibu wao.

Sasa mwarobaini wake ni kuweka Sheria ya kulazimisha wanasiasa wote hasa wale ambao mshahara wanalipwa na serikali watoto wao marufuku kupeleka shule za binafsi.

Mwanasiasa akiumwa atibiwe hapa nchini mpaka umauti umkute au mpaka apone.

Hii nchi tukichekeana hatufiki. Miaka na miaka wahuni wachache watakuwa wakiwachezesha sindimba wananchi wengi
Muhimu sana hii
 
Wanasiasa ndio watunga sera za afya na elimu , watumishi wa umma hutekeleza hizo sera. Kama shule za umma hazina hadhi maana yake ni kwamba wanasiasa pamoja na watumishi wa umma wameshindwa kutimiza wajibu wao.

Sasa mwarobaini wake ni kuweka Sheria ya kulazimisha wanasiasa wote hasa wale ambao mshahara wanalipwa na serikali watoto wao marufuku kupeleka shule za binafsi.

Mwanasiasa akiumwa atibiwe hapa nchini mpaka umauti umkute au mpaka apone.

Hii nchi tukichekeana hatufiki. Miaka na miaka wahuni wachache watakuwa wakiwachezesha sindimba wananchi wengi
Hao tunaowategemea kutunga hizo sheria ndio wafaidikaji wakuu.. Tutegemee wafanye mabadiliko kweli?
 
Wanasiasa ndio watunga sera za afya na elimu , watumishi wa umma hutekeleza hizo sera. Kama shule za umma hazina hadhi maana yake ni kwamba wanasiasa pamoja na watumishi wa umma wameshindwa kutimiza wajibu wao.

Sasa mwarobaini wake ni kuweka Sheria ya kulazimisha wanasiasa wote hasa wale ambao mshahara wanalipwa na serikali watoto wao marufuku kupeleka shule za binafsi.

Mwanasiasa akiumwa atibiwe hapa nchini mpaka umauti umkute au mpaka apone.

Hii nchi tukichekeana hatufiki. Miaka na miaka wahuni wachache watakuwa wakiwachezesha sindimba wananchi wengi
Kwamba wao wenyewe wajitungie sheria za kuwabana? Huu ujinga wa viongozi suluhisho ni machafuko au mapinduzi tu.
 
Back
Top Bottom