Itungwe sheria ya makosa ya kimdomodomo

Itungwe sheria ya makosa ya kimdomodomo

MABAKULI

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
1,754
Reaction score
1,645
Baada ya sheria ya kimtandao kukamata wazushi mitandaoni sasa itungwe sheria wanaodanganya live yaani kimdomodomo kwa mfano yule jamaa aliyemdanganya rais John Magufuli kuwa watumishi wameenda kunywa chai.kama chai saa saba lunch italiwa lini?
 
Back
Top Bottom