ITV: Anaripoti Aslaji Mvungi - Loliondo

Joined
Jun 4, 2022
Posts
68
Reaction score
184
Your browser is not able to display this video.
Wataalam na watafiti wa masuala ya Uhifadhi wamesema hatua zinazofanywa na Serikali kuhifadhi maeneo muhimu Kitaifa na Kimataifa ikiwemo ikolojia ya Serengeti na Ngorongoro ina tija kubwa kwa kizazi cha sasa na kijacho na ina maslahi mapana kwa wadau wote wa uhifadhi Duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…