Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Tena sio hivyo tu, baada ya Jumbe walikuwa wanatafuta sana watu waliokaa huku bara ndio wanawapeleka kuwa marais kule. Baada ya Mwinyi, usishangae akawa Masauni!Kwa Zanzibar hali huwa hivyo... si unajua kiuhalisia Rais wao ni mkuu wa mkoa wetu anatulindia kale kamkoa?
WazanzibaraTena sio hivyo tu, baada ya Jumbe walikuwa wanatafuta sana watu waliokaa huku bara ndio wanawapeleka kuwa marais kule. Baada ya Mwinyi, usishangae akawa Masauni!
bin haroub Gavana degaKwa Zanzibar hali huwa hivyo... si unajua kiuhalisia Rais wao ni mkuu wa mkoa wetu anatulindia kale kamkoa?
Kama kurithishana vileamesema aliitwa na wazee na kuambiwa Dkt Salmin anamaliza muda wake "Tunataka wewe uwe Rais"
Nani kawadanagnya..Huwa wanaaandaliwa kijanja bila wao kujijuaHuku bara huwa ni mbungi
2015 Membe, January na Lowasa waliandaliwa. Bahati mbaya mtifuano ulivyotokea akapewa ambaye hakuandaliwa.SWALI: Kumbe mgombea urais huandaliwa mapema na wale wagombea wengine ni wasindikizaji tu?
Nani kakudanganya? Hukuona jiwe alibeep, akashangaa watu wamepokea?Huku bara huwa ni mbungi
Hatari2015 Membe, January na Lowasa waliandaliwa. Bahati mbaya mtifuano ulivyotokea akapewa ambaye hakuandaliwa.
Matokeo yake alivhokifanya huyu ambaye hakuandaliwa ni aibu kwa taifa. Aliifumga nchi ikawa kisiwa,aliwagawa watanzania kwa mrengo wa kikanda, kisiasa na kikabila.
Kaja huyu naye ambaye kachukua kwa kudra za Mungu, nchi kaiweka autopilot.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema anaandaliwa kua mgombea Urais wa NCCR-Mageuzi πRais wa zanzibar 2000 hadi 2010 Amani Abeid Karume, akiri kuandaliwa kuchukua wadhifa huo.
Akihojiwa ktk kipindi cha ITV DK 45 leo usiku, amesema aliitwa na wazee na kuambiwa Dkt Salmin anamaliza muda wake "Tunataka wewe uwe Rais"
Baada ya hapo alienda kuchukua fomu ya urais na ktk mchujo alishinda yeye.
SWALI: Kumbe mgombea urais huandaliwa mapema na wale wagombea wengine ni wasindikizaji tu? Je, wagombea wengine huwa wanajua juu ya mmoja wao kuandaliwa?
HakuwatajaAliyakiwa aeleze ni wazee gani hao?
Wewe unafikiri ati vijikaratasi vinavyoingia kwenye boksi vina saidia?Rais wa zanzibar 2000 hadi 2010 Amani Abeid Karume, akiri kuandaliwa kuchukua wadhifa huo.
Akihojiwa ktk kipindi cha ITV DK 45 leo usiku, amesema aliitwa na wazee na kuambiwa Dkt Salmin anamaliza muda wake "Tunataka wewe uwe Rais"
Baada ya hapo alienda kuchukua fomu ya urais na ktk mchujo alishinda yeye.
SWALI: Kumbe mgombea urais huandaliwa mapema na wale wagombea wengine ni wasindikizaji tu? Je, wagombea wengine huwa wanajua juu ya mmoja wao kuandaliwa?
Sasa si bora tu wampitishe mtu moja wazizi kama China na Russia.Wewe unafikiri ati vijikaratasi vinavyoingia kwenye boksi vina saidia?
Lipo sanaa.Kwa Tanzania hilo halipo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani kakudanganya? Hukuona jiwe alibeep, akashangaa watu wamepokea?