Tumeanza na single accountKwani hapa nchini kwetu kuna kama hayo?
In Africa there is nothing like "independent Court of law".....Africa is the same though some countries are worseWatanzania wenzangu tunasomo zuri kujifunza toka Kampala
Naibu Jaji mkuu na Jaji mkuu wameomba Serikali kutowaingilia katika Majukumu yao kusimamia sheria na HAKI.
Hii Inatokea pakiwa na shauri la kupinga sheria ya kikatiba kuongeza muda wa kipindi cha uraisi Uganda toka miaka 5 hadi 7.
Rwanda tayari kipindi urais ni miaka 7. Tunakopi mengi toka Rwanda baadhi mazuri mfano single account ,akaunti moja ya serikali kuu.
Nashauri Majaji wetu waige ujasiri wa wenzao Uganda. Kusimamia na kutekeleza haki.
Watanzania wenzangu tunasomo zuri kujifunza toka Kampala
Naibu Jaji mkuu na Jaji mkuu wameomba Serikali kutowaingilia katika Majukumu yao kusimamia sheria na HAKI.
Hii Inatokea pakiwa na shauri la kupinga sheria ya kikatiba kuongeza muda wa kipindi cha uraisi Uganda toka miaka 5 hadi 7.
Rwanda tayari kipindi urais ni miaka 7. Tunakopi mengi toka Rwanda baadhi mazuri mfano single account ,akaunti moja ya serikali kuu.
Nashauri Majaji wetu waige ujasiri wa wenzao Uganda. Kusimamia na kutekeleza haki.
Ufipa akiguswa Mbowe panakuwa hapakaliki!Na aliyemwacha huru Nondo,?,
Kanyama ka mbwaaaa nitakua nakuita tu hivyo maana huko kwa kichwa yako unakujua mwenyewe maana sio kwa kujitoa ufaham huko , kanyama ka mbwaaaaaaaNa aliyemwacha huru Nondo,?, NYUMBU mlisema kila lililo jema kwa mahakama. Haki ikielekezwa upande Mwingine mnadai mnabinywa magolori. Nyambaff
Mbowe aipate dawa? watch this space..tutaheshimiana tu manina zenuMnataka majaji wetu wafanyeje!?? Mbowe alijitia jeuri kaipata dawa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umejitetea poa.Hahahahahahaha mie sio mhehe mkuu. Kwetu ileje bwanakaka
Mnataka majaji wetu wafanyeje!?? Mbowe alijitia jeuri kaipata dawa!
Nakuheshimu sana mkuu! Naomba uchunge maneno yako!Kumbe na wewe kiranja wa mashoga hapa jamvini unamjua Mbowe...!!!
yaani hawa nyumbu ni kelele tu wakisinda wao wanaona mahakama inatenda haki lakini wakishindwa wanaanza kulalama ooh!! mahakama haiko huruNa aliyemwacha huru Nondo,?, NYUMBU mlisema kila lililo jema kwa mahakama. Haki ikielekezwa upande Mwingine mnadai mnabinywa magolori. Nyambaff
Nakuheshimu sana mkuu! Naomba uchunge maneno yako!
Haunijuii aseee! Kuwa mwangalifu sana!Nimekutafakari tuu mkuu kama na wewe mtu legelege unawajua watu mashujaa kama Mbowe
Ila samahani
Sasa unataka mahakama wafungue Kesi wenyewe ?Watanzania wenzangu tunasomo zuri kujifunza toka Kampala
Naibu Jaji mkuu na Jaji mkuu wameomba Serikali kutowaingilia katika Majukumu yao kusimamia sheria na HAKI.
Hii Inatokea pakiwa na shauri la kupinga sheria ya kikatiba kuongeza muda wa kipindi cha uraisi Uganda toka miaka 5 hadi 7.
Rwanda tayari kipindi urais ni miaka 7. Tunakopi mengi toka Rwanda baadhi mazuri mfano single account ,akaunti moja ya serikali kuu.
Nashauri Majaji wetu waige ujasiri wa wenzao Uganda. Kusimamia na kutekeleza haki.
Cudos: ITV habari SAA 2 usiku