Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Leo hii katika kipindi cha ITV cha malumbano ya hoja,wanajadili hoja inayouliza, mfumo wa muungano wa serikali tatu.Je,ni kuimarisha au kuudhoofisha muungano?
Cha kushangaza, karibu asilimia 99 ya wanaoshiriki wanapinga vikali muundo wa serikali 3 na kumshambulia mzee Warioba na tume yake vikali mno!
MY TAKE:
Hawa watu bila shaka wamekusanywa kwa agenda moja tu ya kutetea serikali mbili.
ITV wajitafakari sana.
Cha kushangaza, karibu asilimia 99 ya wanaoshiriki wanapinga vikali muundo wa serikali 3 na kumshambulia mzee Warioba na tume yake vikali mno!
MY TAKE:
Hawa watu bila shaka wamekusanywa kwa agenda moja tu ya kutetea serikali mbili.
ITV wajitafakari sana.