Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Leo hii katika kipindi cha ITV cha malumbano ya hoja,wanajadili hoja inayouliza, mfumo wa muungano wa serikali tatu.Je,ni kuimarisha au kuudhoofisha muungano?
Cha kushangaza, karibu asilimia 99 ya wanaoshiriki wanapinga vikali muundo wa serikali 3 na kumshambulia mzee Warioba na tume yake vikali mno!
MY TAKE:
Hawa watu bila shaka wamekusanywa kwa agenda moja tu ya kutetea serikali mbili.
ITV wajitafakari sana.
Nilikuwa nadhani Kibamba ni pro Chadema kumbe ni Non Aligned Citzen anayesimamia ukweli wa jambo amenifurahisha sana
Pro-Chadema kila kukicha na malalamiko leo tena ITV wamekuwa wabaya.
Leo hii katika kipindi
cha ITV cha malumbano ya hoja,wanajadili hoja inayouliza, mfumo wa
muungano wa serikali tatu.Je,ni kuimarisha au kuudhoofisha muungano?
Cha kushangaza, karibu asilimia 99 ya wanaoshiriki wanapinga vikali
muundo wa serikali 3 na kumshambulia mzee Warioba na tume yake vikali
mno!
MY TAKE:
Hawa watu bila shaka wamekusanywa kwa agenda moja tu ya kutetea serikali
mbili.
ITV wajitafakari sana.
Nilikuwa nadhani Kibamba ni pro Chadema kumbe ni Non Aligned Citzen anayesimamia ukweli wa jambo amenifurahisha sana
Ni kamishana wa tume tu ndie alietetea mapendekezo ya tume ila wengine wote wako against na serikali 3.
Kuanzia leo sitakuwa na imani na hiki kipindi.