Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Prof. Kabudi anatetea status quo. Pamoja na kuijua sheria lakini siasa zinamfanya ayumbe na kujaribu kupotosha watu.
Mihimili ya mahakama na serikali lazima kila mmoja ujitegemee bila kuingiliwa na mwingine. Hasa hili la raisi kumteua jaji mkuu halikubaliki na hata wakilipaka rangi kwa kiasi gani haikubaliki.
Pia nimegundua kuwa hii ni rasimu ya mtazamo wa wajumbe wa tume na si rasimu yenye maoni ya wananchi wengi wa Tanzania.