kwan unafikiri hiyo supabrand ni kwa ajili ya kuonyesha picha nzuri? ITV pamoja na kuwa na mapungufu yao hasa ya ndani bado ni Brand kubwa sana africa Mashariki clouds ni hapo dar es saalm tu ndio munaangalia, Azam bado hawajawa na brand kubwa kuishinda itv japo channel za michezo ndio zinawatoa kidogo. ITV wanastahili kabisa na wapo serious sio kama hivyi vi TV vingine mara leo mtu aingie na Joho na kujipa udocta
Nyingine watu wanasoma magazeti kwa kichaga, wengine wameajiri tu wahuni wa mtaani, mashoga na wasagaji ili kupromote agenda ovu
Azam wameweka sana udini mbele
star tv inatazamwa zaidi ya kanda ya ziwa
TBC malizieni wenyewe
Channel ten tangu alipotoka hapo Jafar Hanui haina jipya tena
Wasafi ni uchafu wanaweza kukata matangazo wakaonyesha birthday ya mama dangote, au juma lokole anakata mauno beach
au wakavunja vipindi wakaonyesha diamond akila roamnce na zari huko Sauzi
ITV WANASTAHILI