carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 265
Kwa wiki hii nimeona taarifa kama mbili zikiripotiwa na Steven Chua wa ITV aliyeko Nyamongo huko Tarime - Mara kuhusu ile ishu ya uchafuzi wa mazingira ulioleta mgogoro na wananchi.
Kilichonishangaza ni ambavyo huyu jamaa anaripoti hizi habari, jamani wote tulishuhudia watu na mifugo walivyoathirika hadi wabunge na mawaziri wakaenda huko. Sina uhakika ni nini kilifanyika baada ya wataaalamu kibao kwenda huko lakini inaonekana wazi kuwa kuna jitihada mahususi zinafanywa na ITV kuisafisha Barrick na kutupa lawama zote kwa wananchi as if they deserve whatever happened to them.
Mimi sijaelewa kweli barick wana mkono mrefu, yani ni maji marefu hawashikiki especially kwa nchi kama TZ yenye viongozi bongolala, ila inaudhi na inauma kutupa lawama zote kwa wananchi.
Na HAWA WAANDISHI WA HABARI MBONA VIGEUGEU HIVI? LEO WANA-REPORT Hivi kesho wana-change, tutafika kweli?
Kilichonishangaza ni ambavyo huyu jamaa anaripoti hizi habari, jamani wote tulishuhudia watu na mifugo walivyoathirika hadi wabunge na mawaziri wakaenda huko. Sina uhakika ni nini kilifanyika baada ya wataaalamu kibao kwenda huko lakini inaonekana wazi kuwa kuna jitihada mahususi zinafanywa na ITV kuisafisha Barrick na kutupa lawama zote kwa wananchi as if they deserve whatever happened to them.
Mimi sijaelewa kweli barick wana mkono mrefu, yani ni maji marefu hawashikiki especially kwa nchi kama TZ yenye viongozi bongolala, ila inaudhi na inauma kutupa lawama zote kwa wananchi.
Na HAWA WAANDISHI WA HABARI MBONA VIGEUGEU HIVI? LEO WANA-REPORT Hivi kesho wana-change, tutafika kweli?