Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Superbrand Afrika Mashariki vipi tena. Matangazo yenu yanakatakata sana. Taarifa ya habari saa 2 ndio usiseme. Tatizo lipo wapi? Tena ni muda sasa satelite zenu zinasumbua sana hadi binafsi naondokewa na mood ya kutazama vipindi vyenu