ITV wame suggest wanaopotosha suala la Loliondo wapewe kesi ya uhujumu Uchumi...

ITV wame suggest wanaopotosha suala la Loliondo wapewe kesi ya uhujumu Uchumi...

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
ITV baada ya kutokea sekeseke la Loliondoa waliuliza swali kwenye kipima joto kuwa "wanaopotosha" suala la utiaji mipaka Loliondo wapewe kesi ya uhujumu uchumi..?🤣🤣

Hivi jamani hata tuki assume ni kweli wanapotosha, wapewe kesi ya uhujumu uchumi? Hii kesi si haina dhamana?

ITV ombeni radhi

IMG_20220612_120005.jpg
 
IPO siku inakuja watapewa Tu hii kesi ya uhujumu uchumi hapo watajua maabayake
 
Kila taasisi inajitahidi kujiweka karibu na maslahi ya mabeberu
 
bado unaangaliaga ITV mangi.
daahh
 
Huu ni ujinga sana chombo cha habari kupigania giza.
 
ITV baada ya kutokea sekeseke la Loliondoa waliuliza swali kwenye kipima joto kuwa "wanaopotosha" suala la utiaji mipaka Loliondo wapewe kesi ya uhujumu uchumi..?🤣🤣

Hivi jamani hata tuki assume ni kweli wanapotosha, wapewe kesi ya uhujumu uchumi? Hii kesi si haina dhamana?

ITV ombeni radhi

View attachment 2258111


View attachment 2258111
Sikumbuki mara ya mwisho kuangalia local channels ni mwaka gani. Nipoteze mda wangu kuangalia vilaza hawa?
 
Hii habari ya loliondo kupewa haki ya kumiliki ngorongoro kwa ajili ya kuwinda na kuchimba madini kama ni kweli inaleta ukakasi sana-Serikali ni vyema ikafanya process nzima kuwa jumuishi kuondoa mikanganyiko kwenye jamii isiyofaa, Swali la msingi ni why now kwa gharama kubwa ya hata uhai wa binadamu kama lengo ni kumnufaisha binadamu mwenyewe? Atafaidi matunda akiwa kaburini?
 
ITV baada ya kutokea sekeseke la Loliondoa waliuliza swali kwenye kipima joto kuwa "wanaopotosha" suala la utiaji mipaka Loliondo wapewe kesi ya uhujumu uchumi..?[emoji1787][emoji1787]

Hivi jamani hata tuki assume ni kweli wanapotosha, wapewe kesi ya uhujumu uchumi? Hii kesi si haina dhamana?

ITV ombeni radhi

View attachment 2258111


View attachment 2258111
Wameanza unafiki kama wengine?? Tutaondoa imani kwao pia.....Ohooo....
 
ITV baada ya kutokea sekeseke la Loliondoa waliuliza swali kwenye kipima joto kuwa "wanaopotosha" suala la utiaji mipaka Loliondo wapewe kesi ya uhujumu uchumi..?[emoji1787][emoji1787]

Hivi jamani hata tuki assume ni kweli wanapotosha, wapewe kesi ya uhujumu uchumi? Hii kesi si haina dhamana?

ITV ombeni radhi

View attachment 2258111


View attachment 2258111
Syo ITV bali mtangazaji wa hyo TV
 
Back
Top Bottom