Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Sikumbuki mara ya mwisho kuangalia local channels ni mwaka gani. Nipoteze mda wangu kuangalia vilaza hawa?ITV baada ya kutokea sekeseke la Loliondoa waliuliza swali kwenye kipima joto kuwa "wanaopotosha" suala la utiaji mipaka Loliondo wapewe kesi ya uhujumu uchumi..?🤣🤣
Hivi jamani hata tuki assume ni kweli wanapotosha, wapewe kesi ya uhujumu uchumi? Hii kesi si haina dhamana?
ITV ombeni radhi
View attachment 2258111
View attachment 2258111
Wameanza unafiki kama wengine?? Tutaondoa imani kwao pia.....Ohooo....ITV baada ya kutokea sekeseke la Loliondoa waliuliza swali kwenye kipima joto kuwa "wanaopotosha" suala la utiaji mipaka Loliondo wapewe kesi ya uhujumu uchumi..?[emoji1787][emoji1787]
Hivi jamani hata tuki assume ni kweli wanapotosha, wapewe kesi ya uhujumu uchumi? Hii kesi si haina dhamana?
ITV ombeni radhi
View attachment 2258111
View attachment 2258111
Syo ITV bali mtangazaji wa hyo TVITV baada ya kutokea sekeseke la Loliondoa waliuliza swali kwenye kipima joto kuwa "wanaopotosha" suala la utiaji mipaka Loliondo wapewe kesi ya uhujumu uchumi..?[emoji1787][emoji1787]
Hivi jamani hata tuki assume ni kweli wanapotosha, wapewe kesi ya uhujumu uchumi? Hii kesi si haina dhamana?
ITV ombeni radhi
View attachment 2258111
View attachment 2258111