Mpendazoe kimeo, CHADEMA ilikosea kumpa jimbo, Anhesimama Rachel angeshinda, Mpendazoe hafanani na CHADEMA, hawezi hata kuvaa COMBAT
ni kweli... waliopiga kura wengi ni vijana na rachel fits the frame... mpednazoe alimchakachua huyu dada na yeye kachakachuliwa, eniwei tusubiri rufaaMpendazoe kimeo, CHADEMA ilikosea kumpa jimbo, Anhesimama Rachel angeshinda, Mpendazoe hafanani na CHADEMA, hawezi hata kuvaa COMBAT
Hii imekaaje jana kulikuwa na taarifa kuwa matokeo yamechachuliwa kwa kuleta form za matokeo kupiku kura zaidi ya 1250 alizokuwa anaongoza.Naomba hii habari wacomfirm akina FDR jr walioko huko.
wizi upo.... kama mfumo uliowekwa wa kudhibiti ungetumika, basi majibu ya nchi nzima yangekua yameshatangazwa jana.... all results are out but delaying tactics and fraud is the reason for the delays you see nowMWANAKIJIJI ALISEMA HAKUNA WIZI WA KURA KWA SYSTEM TULIYONAYO,
LAKINI NADHANI LEO AMEPROVE KWA MTU WAKE WA KARIBU KABISA
MWANAKIJIJI HUO NDIO UKWELI WIZI UPo
Hivi mmesoma linki hii ambayo yeye Regia amesema atakwenda mahakamani baada ya kuchakachuliwa?
https://www.jamiiforums.com/results-matokeo/84164-mteketa-mbunge-kilombero.html