Iundwe tume Huru suala la mafuta ya petroli

Iundwe tume Huru suala la mafuta ya petroli

Lambardi

Platinum Member
Joined
Feb 7, 2008
Posts
18,813
Reaction score
21,830
Wanabodi kama alivyopendekeza Mbunge. Naomba kusisitiza suala kuundwa tume huru tujue madudu yapoje na upigaji kwenye mnyororo mzima wa mafuta ya petrol.

Kumtoa Mjinja bado hakusaidii wameiba sana. NAtoil ni balaa na laana kubwa.

 
Back
Top Bottom