Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
DuuuhhhUfisadi umeruhusiwa,sasa wewe unataka ushughulikiwe kivipi tena?!
View attachment 2552688
Wanaokuwa kwenye tume niwalewale hakuna sura mpyaNani aunde tume ya kumchunguza yupi? Ili report apewe nani wa kuifanyia kazi? Fanyeni system reforms wacheni kuzunguka zunguka! Tume inaleta report inawekwa kwenye faili maisha yanaendelea !